that shows its not about sex that drove you to her, manake kama una mipango nae ya baadae bas when time comes ile ze dead mende na "ouh yeeah baby" zitakuja sana, yes,
and a true gentleman must have his own stands, big up joh
huyo nadhani kuna application alikua anatumia, kitu cha ukweli ni kaspersky, ambayo unaweza hata ku tress sim yako pale ikipotea na mtu akaenda ku change line, inakua inaku update kwa kukutumia msg kadri atakavyo zibadilisha line, so try kasper sky mkuu
we nenda tu, yawezekana mzee alisha talk nao sasa wanataka tu uka report, yaweza kua bahati yako hyo, usipuuzie, wasikilize ila uwe vere makini wasikuingize mjini
yawezekana hao jamaa interview yao ilishafanyika tokea wapo field kwenye hizo brunch mkuu, so haikua na sababu ya kuwarudisha manake huenda mwanzoni waliumiza sana kichwa namna ya kuwakatishia field yao, mtazamo tu eroo
unataka kuitumikia chadema, fine, sasa unataka nini??????
uongozi?
uanachama??
gwanda???????
au ndio una renew your political appearance to the society???????
Note: hapa JF huwezi pata hivyo vitu, hata kuwa kiongozi tu wa ulinzi katika mikkutano, labda ungeulizia ofisi za chama kwa mkoa au eneo...
watu wengine bana, mtu unaweka post na kuahidi kutoa updates, hatimaye unaishia mitini, au ndio kutaka kuzitafta 'Likes'??
wacheni bujinga ninyi, mshakua wazima sio?
manake wengine sijui mnashtuka tu pale saa 05:45 kabla free internet ya airtel haijaisha nakushindwa kurejea kutoa up dates??
kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.