Ndio maana siku hizi nguvu za kiume ni tatizo kila kona, unamkomoaje mwanamke? Mwanamke hakomolewi ndio maana anaweza kuwa anaigiza kulia wewe unavimba kichwa kuwa unamwumiza kumbe anakudanganya.
Fata moyo wako mama life is too short, isitoshe kuna maada ikiletwa humu kuhusu mwanaume kumwacha mke utasikia tu ''achana nae tafuta mwingine'' ila ikija kwa mwanamke utaona ushauri mwingi wa kuvumilia. Tupa kule hata ukiishi mwenyewe haina shida mradi moyo wako una furaha.
Hata kama hujaolewa una uwezo wa kuwa busy na mambo yako ya kukuletea maendeleo na ukafanikiwa. Kinachowakosanisha watu ni ile kukariri kuwa kwa vile kaka ana mali ni halali yako wifi unakaa kiboya bila kujishughulisha ukitarajia kutimiziwa kila kitu na kaka yako ili hali na yeye ana majukumu...
Jirani yangu anaomba msaada kuhusu binti yake mwenye umri wa miaka 13.
Anasema alivunja ungo October mwaka jana, akaendelea kama kawaida mpaka January 5 tena akaona siku kama kawaida.
Baada ya hapo haoni tena mpaka sasa hivi napoandika hapa. Keshampima mimba hana na sasa hiyo hali...
Napenda music lakini mweeh mpenzi wangu hataki kusikia kitu kama hicho. Nachofanya nafungilia music ndani nacheza weee mpaka natokwa jasho naoga nalala. Huwa nafanya kama mazoezi vile. Saa zingine inabidi tu ukabaliane anachotaka mwenzi wako kama hapendi unaacha.
Asante Mungu baba uliyejuu mbinguni mwenye mamlaka juu yetu wanadamu. Nakushukuru kwa kunipa watoto wenye afya njema na akili, msaidie huyu mama kwa imani yake ili watoto wake wapone baba. Amen
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.