Amos tutamsingizia bure, Hawa vijana wanaojiita PanyaRoad wamekosa ajira hasa pale walipowafukuza wanachinga kufanya biashara maeneo ya mjini, walikosa ajira na namna pekee ya kujipatia kipato na kujiajiri ni hicho wanachokifanya, Serikali ilitakiwa kuwaandalia maeneo na mazingira mazuri ili...
Huna akili hata ya kadadafua mambo, ndo maana tunajikuta tunajibu tofauti sababu ya kushindwa kuelewa kilichoandikwa au kukurupuka kuchangia mada au kutomaliza kusoma andiko au habari flani,soma tena halafu rudi uandike upya
Usiwe mpumbavu na mbumbumbu kiasi hicho, haya masuala ya kijipendekeza ndo yaniua nchi yetu, vijana wengi hasa sifiasifia akili, macho na masikio vimezibwa hii yote ni sababu ya uroho na njaa za matumbo Yao, sometimes tujitambue tusiwe chawa kiasi hicho hadi boss anakuona wewe fala!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.