Na sisi waumini tujifunze kumtafuta Mungu binafsi nikimaanisha kusoma neno na kufanya maombi wewe mwenyewe. Mungu hana upendeleo, ukimtafuta kwa bidii utamuona. Kwenye ibada twende lakini macho na masikio yetu yawe wazi kupima yale tunayosikia. Tumeruhusiwa kuzijaribu roho kama zimetoka kwa...
Za mchana wadau. Nimependa subaru forester sijajua ipi nzuri katika ubora wa injini. Pia tofauti ya ubora kati ya yenye turbo na isiyokuwa nayo. naombeni msaada
Pole sana. Mapenzi hayalazimishwi, kama amesema hakutaki huna haja ya kulazimisha wewe songa mbele hata kama unaumia, baada ya muda utapona jeraha lako. Jambo hilo liwe darasa kwako ujifunze kutorudia kosa hili wakati mwingine. Kama unataka msomi mtafute akiwa ameshasoma, mara nyingi tabia za...
Hallow great thinkers.
natamani kuanza biashara ya kilimo cha matunda na ufugaji wa kuku chotara. naomba yeyote mwenye relevant information juu ya hili aniitaarifu kupitia beatricezuberi@yahoo.com.
asanteni.
Utatumika mpaka basi na usiolewe, wengi tumewaona waliishia kuwa frustrated. Ndoa ni suala la upendano wa wote wawili mambo ya mpini na makali yanaashiria mashinano jambo ambalo si zuri ktk ndoa.
Habari zenu. Nimekumbwa na utata juu ya suala hili, siku hizi wakaka wengi kabla ya ndoa wanataka wahudumiwe kama kwamba tayari wameoa. Tendo la ndoa, Kufua, Kupika, Usafi wiki end na hata katikati ya wiki na mambo mengine kama hayo. Je hiyo ni sawa kwa mila na desturi zetu?
wengine wanafika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.