Habari wakuu!
Mdada amesoma (clinical medicine/clinical officer)anatafuta kazi hospitali au pharmacy na yupo Dar.
Kwa yeyote anayeweza kutoa msaada mawasiliano hayo hapo 0654983243.Asante sana.
Utangulizi:nchi yetu ina utajiri mkubwa wa rasilimali lakini ina umaskini wa maendeleo, watu wengi wanajiuliza swali kwa nini? Sababu zipo nyingi ila tatizo kubwa ni fikra na mitazamo ya kimaskini iliyopo kwa wananchi walio wengi inayosababisha vitu hivi (chuki,ubinafsi na unafiki) ambavyo...
Utangulizi: Awali ya yote napenda kutumia fursa hii kumpongeza "Mh: samia suluhu hassan, raisi wa jamhuri ya muungano wa tanzania" kwa kuonyesha upendo na mahaba makubwa kwenye sekta ya utalli nchini, kwa kuamua kwa dhati kucheza filamu ya "The Royal Tour" kwa lengo la kuhamasisha watalii waje...
Habari wakuu!
Kwanza nakiri kuwa mapenzi hayana mtaalamu ila lazima tubadilishane udhoefu ilitujiimarishe zaidi na haya
mambo kwa sababu mapenzi ndio maisha yenyewe,kipindi natafuta mke wa kuoa nilipata tabu sana kwa sababu nilikuwa sijui kuwa wanawake wengi wana ugonjwa huu wa...
Habari wakuu!,
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza hapo juu,je una sherehe hivi karibuni kama harusi,send off,happy birthday n.k, kama jibu ni ndio basi hii taarifa ni nzuri na muhimu sana kwako, tunafahamu kuwa linapofika swala la sherehe yoyote watu hupanga mahitaji muhimu kwa ajili ya...
Habari wadau!
Kiukweli na kiasilia mwanamke wa kiafrika ndio mwanamke wa kwanza (mzuri, mwenye upendo wa kweli na vigezo vya mke mwema)kuliko race yoyote Duniani,wazungu walilijua hili mapema na wakawaonea wivu mababu zetu zile raha za mahaba ,walizokuwa wanazipata kutoka kwa mabibi...
Habari wadau!,
Ningependa kupata ushauri kidogo,Kuna mzigo nataka niagize kutoka Alibaba. Ningependa kujua utaratibu ukoje. Hapa Bongo Mzigo unapofika kwenye upande wa Kodi?,n.k,je Kama mzigo.
Wenyewe ni wa matumizi binafsi ya Nyumbani na wenyewe natskiwa nilipie Kodi? Wazoefu Tafadhali...
Nilikutana na mshikaji wangu Tandika stendi ya Mbagala, akanistua kwa nyuma akisema "malogy mathematic ndio wew? upo kaka?". Nikamjibu nipo Kiongozi tunasindikiza wenye maisha yao, akacheka sana,, Mara akaanza kuzungumzia matatizo ya familia yake, nikamwambia tuyaache hayo mim mwenzako nimepitia...
TUISHI NAO KWA HEKIMA SANA NDIVYO VITABU VYA MUNGU VILIVYOTUAGIZA
Jamaa kaamka asubuhi, kavaa track suit na kumuamsha mkewe!
MUME: Amka twende jogging mke wangu?
MKE: Alaaa kwa hiyo una maana mi tipwatipwa? (Mnene)
MUME: Hapana si hivyo jogging ni nzuri kwa afya yako mke wangu
MKE: Kwa hiyo...
Habari. Wadau!
Tunauza masweta ya watoto na watu wazima kwa bei nafuu kuanzia Tsh.15000 mpaka 25000 inategemeana na saizi ya mteja wetu , tupo Daressalaam maeneo ya kinyerezi,mikoani tuna tuma pia tuwasiliane 0674021866 Asante na karibuni sana.
Habari wadau!
Anahitajika mtaalamu wa video editing,awe anajua kuedit vizuri video na mzoefu, tuma sms kwenye namba hii 0687234549.
Note:awe mkazi wa Daressalaam.
Habari wadau!
Natafuta mafundi ujenzi wa nyumba n.k,kama
wewe ni fundi ujenzi naomba nitumie SMS kwenye namba hii 0687234549,halafu mimi mwenyewe nitakupigia baadae,Asante!
Habari wadau!, natafuta dereva wa magari ya mizigo anayekwenda kenya,ambaye anayeweza kunichukulia mzigo wangu kidogo kutoka nairobi kuleta Tz,anitext +255687234549,tutaelewana.
Habari, nyumba inapangishwa mwanza maeneo ya Butimba mtaa wa Amani,ina chumba kimoja na sebule, maji na umeme ni Tsh.60000/= kwa mwezi. Yaani kwa miezi sita ni Tsh 360000/= tu.
Ipo ndani ya fensi usalama upo wa kutosha, mawasiliano tuma txt au piga 0687234549.
Habari wadau!
Wanawake huwa wananifurahisha sana wanapotulalamikia wanaume kuwa hatuna mapenzi ya dhati.
Ukweli ni kwamba "kila mwanaume ana mapenzi ya dhati kwa mwanamke anayempenda kweli", Je wanawake wanafeli wapi kumpata mwanaume mwenye upendo wa kweli?
Ukweli muhimu ni huu hapa,"...
Habari!
Jé wewe ni mfanyabiashara unaeuza kuku wanyama au mayai?na unahitaji kupata wateja wengi kwenye biashara yako?,kama jibu ni ndio, basi wasiliana na huyu mtaalamu wa masoko makubwa ya kuku wanyama na mayai na utimize malengo ya biashara yako,call/sms 0687234549.
Habari wadau
Kama wewe unahitaji kununua gari au tayari unamiliki gari karibu ukutane na wamiliki wenzako magari mpeane changamoto za kutunza Magari!,tuna group letu la Telegram linaitwa MAGARI,karibu ujifunze zaidi au unaweza ukanicheki whatsapp 0762508455,karibuni sana.
Habari wakuu!
Ningependa kufahamu ipi njia nzuri ya kumtumia mteja mzigo wake akiwa mkoani,ili uweze kumfikia salama na unaotengeneza Mazingira mazuri ya
Uaminifu kati ya mfanyabiashara na
Mteja?
Msaada tafadhali wadhoefu wa biashara za kutuma mizigo mkoani!
Helloh jf!
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,mimi ni kijana
nina Girlfriend wangu ninampenda
Sana,ila changamoto niliyinayo kwa
Sasa,ni mwaka wa pili umepita tangu alipoenda kusoma nje ya nchi,
Kipindi anaondoka tulipeana ahadi kuwa atakapomaliza masoma tuje
Tufanye mpango wa kufunga ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.