Dr.kwema...samahani naomba unisaidie nna kuku wa kienyeji nawafuga nusu huria wamevamiwa na ugonjwa wa ndui na nna vifaranga havijafikisha mwezi...unanishauri nini cha kufanya?
Toka juzi laptop inanisumbua kuunga net kwa modem....maelezo inayonipa"A connection to the remote computer could not be established,so the port used for this connection was closed"msaada kutatua tatizo hili
Mimi ningependa kujua katika kanuni,sheria na taratibu zenu za kiutendaji!!neno BUSARA ni sahihi kutumika katika ukiukwaji wa sheria??maana katika miaka michache iliyopita,tumesikia neno hlo likitumika mara nyingi katika kupindisha sheria na kanuni zenu mlizojiwekea
Sent from my BlackBerry 9700...
Daaaah,kwahiyo kujua ki ingereza ndo nini!!mbona ni vitu viwili tofauti sana kwenye kipaji,nakumbuka mwaka jana au juzi Nadir Haroub nae alihojiwa na hao hao Super Sport,watu wakamponda sana alichoongea,na hata Ulaya wapo Professional wengi tuu hawaijui hyo lugha na hawana mpango nayo tena wapo...
Kuna game ya pool table nlikua nayo kwenye Pc imefutika na nimeisahau jina,kwa anae ifahamu anisaidie,ni kama pool table ya mitaan sheria zake na ina opt ya ku play wawili,nahitaji kui download
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.