Mada ni self explanatory. Just tryna get a discussion going on this issue.
Maoni yako ni nini kuhusu mtu kutoa mimba, iwe kwa sababu moja au nyingine. Unakichukuliaje kitendo hicho?
Wengi mpaka sasa mtakuwa mmepitia mahusiano mbalimbali na angalau mna ka-experience kakutosha ukilinganisha na ulivokuwa unaanza. So kama ungeweza kurudi nyuma na kujipa ushauri kuhusu mahusiano kipindi hujayaanza ungejipa ushauri gani?
Watu wengi wanapojiunga JF, wana this impression kuwa its all sunshine and roses. Kila mtu yuko friendly na hoja inajibiwa kwa hoja. Pretty soon they find out that is not the case.
1. Chameleon
Kila kitu chake ni full of contradiction. Mfano: Mara atasema ameishia la nne, halafu kwenye post...
Most of us hapa tumepitia some form of formal education. So kama mada inavyosema somo gani lilikuwa rahisi kwako shuleni, iwe primary, secondary au chuo...
1. Multiple IDs
Hawa ni wazee wa id zaidi ya moja, kutokana na sababu moja au nyingine. Lakini most ni just for fun. Sema utawagundua kwa miandiko yao, so ni very easy to spot second id ya mtu.
2.Multiple personalities.
Hawa wanaundugu na watu wa multiple ids ila wame-advance kidogo, tofauti ni...
Kama ambavyo kipindi cha kampeni wanasiasa wanakuwa na upuuzi/ mbwembwe nyingi mfano, kujidai wanapiga story kwenye vijiwe kadhaa, kupiga push up majukwaani, kula kwa mamantilie, kununua vitu gengeni/sokoni n.k yote hii ilikupata kura za wananchi. Vivyo hivyo na wanaume wakati wanamfukuzia...
The internet/social media is all about interaction. Na one thing it brought ni a false sense of belief kwa watu kuwa wanamjua/elewa mtu kutokana na vitu anavyoviandika au wanavo-interact nae.
Kwahiyo usije ukajidanganya kuwa mtu fulani humu yuko hivi na hivi in real life kutokana na...
Tunaambiwa kwenye maandiko kuwa baya huzaa baya na jema huzaa jema. Na mungu, "ametuumba" wote kuwa ni watenda dhambi/sinners. Ambapo dhambi huwa ni jambo baya.
Kwa hiyo mungu anaweza kuonekana na kuhesabiwa kuwa ni original sinner since the fruits of his labor (us) went bad or are born bad...
Wherever there is interaction, attraction is bound to happen. Kuna watu humu wamepata flings, spouses, wengine got married and some ended up being catfished. All is life.
So lets say someone caught your eye humu, lakini hujui uanzie wapi. Unaweza ukaenda straight PM ila more times than not...
Kwenye mapenzi kuna vionjo vingi, na moja ya vionjo hivyo ni kuitana pet names mbalimbali. Majina hayo yanaweza yakawa yale honey, dear, sweety, bae au yale ambao mmetungiana nyie wenyewe.
So kama mada inavosema ni jina gani la utani ulikuwa ukimuita mpenzi/crush wako, au yeye alikuwa akikuita...
1. Wako radhi wa-share mwanaume mwenye mafanikio kuliko kushikamana na a 'loser' ambae yuko faithful kwake
2. Many do not marry for love.
3. Yule mwanamke unaemuona ni 'innocent and a nice girl' mara nyingi ni often the horniest and unlikely innocent.
4. Wengi wanaangalia muonekano, kazi yako...
Haijalishi ni ndugu, rafiki, jirani nk lazima kila mtu alishawaiombwa hela na mmoja kati ya hao watu.Hilo ni jambo la kawaida. Kuna mwingine anaweza kukuomba umkopeshe kiasi kidogo, ambacho unaweza hata hujifikirii mara mbili kumpa, ila kuna mwingine anaweza kukujia na request ya kukuomba hela...
Kupoteza kitu ni jambo la kawaida. Show me a person ambae hajawahi poteza kitu, and I'll show you a liar.
Lakini kuna vitu vingine mtu unapoteza au ibiwa, ambavyo kwako vilikuwa na thamani kubwa, thamani sio lazima iwe ya kifedha, inaweza tu hicho kitu meant a lot to you in one way or another...
Kudumu kwenye mahusiano ni jambo la heri, ingawa sometimes watu inawabidi kuachana na wapenzi wao iwe kwa sababu moja au nyingine.
So kwa wale ambao waliodumu au walishawai kuwa kwenye mahusiano muda mrefu (kuanzia mwaka na kuendelea), ni vitu gani vilifanikisha hilo...
Kwenye mapenzi kuna uongo mwingi, uongo mwingine ni simple na harmless. Ila kuna uongo mwingine mtu anakudanganya mpaka kuja kushtuka unakuta kushakucha.
So ni uongo gani ulishawaidanganywa au mdanganya mpenzi wako, ambapo ilimchukua muda sana kugundua
You vibing with a certain girl, chilling, talking about god knows what. You feel like kissing her, halafu unaona the best course of action ni kumuomba. Like nigga is you stupid. Huko ni kukosa confident. Na uoga wa rejection.
Just go for it. Ukisubiri subiri for the right "sign" au "moment"...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.