Ni vema adhabu iwe ni funzo kwa alietenda kosa, haina maana kumaliza kabisa nafasi ya mtu kubaadilika adhabu ya kifo sio uamuz sahihi hata kidogo... mwisho wa kuteekelezwa kwa adhabu ya kifo ni awam ya pili.. awamu nyingine zilizofata haijatekelezwa
husband and wife are trying to set up a new password for their computer. The husband puts, "Mypenis," and the wife falls on the ground laughing because on the screen it says, "Error. Not long enough.
Mwigamba na wenzake wanaeza kuwa sahihi kwa shutuma walizotoa lakin na wao ni part ya uongozi wana nafasi ya kulaumiwa pia njia waliyotumia ikiwa ni pamoja na kashfa,dhihaka kibao walizotaja kuhusu uongoz uliopo hazitupi iman kuwa na wao ni wana demokrasia kama wanavojitapa yale sio mawazo...
ndugu Kigwangala,jaman mim nina swali,hivi kweli kulikua na haja gan ya kumtukana mtu mzima tena aliekusaidia bure kutokana na udhalimu wa serikal hii,hata kama humheshim,basi ungekumbuka hata msaada wake tu.Hivi unadhan kuna siku mhe lisu atasaidia mtu mwenyetatizo kama alokusaidia!maana ataona...
Natambua hivo na nadhan madai yanayodaiwa ni kwa ajili ya madaktari wote wanaotibu Tanganyika iwe Wacuba au Watanzania na kama wakirise concern kuhusu wale wa Zanzibar itakuwa invalid Coz madaktari wanaotibu Zanzibar watadai huko huko kene serikali ya Umoja wa Kitaifa ila ni iman yangu kama hawa...
kila siku kila mwaka wanatoa Shule nzuri but sasa ni more than 50 years matunda ya Shule nzuri hizo hatuyaoni Nape sa hii cjui inakuwa ina maana gani maybe next time wafanye mbaya inaeza kutukomboa.
Al-Shabaab wameitwa magaidi na US Coz wanaingilia interest zao nasi tukakubali ni magaidi leo hii UAMSHO nao wataitwa magaidi na tutakubali kwa Sababu ya kuficha ukweli. Sometimes ukweli usemwe tu cna shida na Rajab Ahmed
Sijutii Kuzaliwa tz ila najutia kukutana na watanzania kama wewe, Najua unajua kuwa Kuna chama cha wafanyakazi wote na unajua udhaifu wake pi unajua kuwa kila mtu ana haki ya kuchagua kazi anayoipenda na anapaswa kulindwa katika kazi hiyo na hii ni nchi yetu sote sa daktari aende wapi wakati...
It is not an issue of what she wants or what she doesn't want but what is right for the moment, because as you know most of us do many things even if we don't want, after all if a mother doesn't want a child but she has already Conceived then she has to choose give out a baby and we will find...
Nimekuwa nikisikilize hiki kituo kwa muda sasa na kitu nilichogudua ni kwamba sio management yake wala wafanyakazi wengine wote hawako na nia ya kitufikirisha kuhusu maswala makubwa yenye maslahi mapana ya watu kama wao wanaojitambulisha na wanavojipambanua; zaidi ni kupromote mambo yasiyo ya...
double R
Let's not take things for granted. Abortion is not as simple as those activists claiming, you are considering mothers emotion more than life of the unborn child jamani!!
Inasikitisha sana
Sidhani Kama haki ya mtu kuishi inakoma pale mtu huyo anapomuua Mwanzake ila inapotokea mtu katenda kosa hilo apewe adhabu itakayomfanya ajutie makosa yake na kama mtu ni hatari basi anazuiliwa mpaka hapo itakapothibitika sio hatari tena.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.