Search results

  1. N

    Adhabu ya Kunyonga Hadi Kufa imepitwa na wakati?

    Ni vema adhabu iwe ni funzo kwa alietenda kosa, haina maana kumaliza kabisa nafasi ya mtu kubaadilika adhabu ya kifo sio uamuz sahihi hata kidogo... mwisho wa kuteekelezwa kwa adhabu ya kifo ni awam ya pili.. awamu nyingine zilizofata haijatekelezwa
  2. N

    Not long enough

    husband and wife are trying to set up a new password for their computer. The husband puts, "Mypenis," and the wife falls on the ground laughing because on the screen it says, "Error. Not long enough.
  3. N

    Mwigamba: Sitoki wala siombi radhi. Atoa ufafanuzi kuhusu Waraka wa Mkakati wa Mabadiliko 2013

    Mwigamba na wenzake wanaeza kuwa sahihi kwa shutuma walizotoa lakin na wao ni part ya uongozi wana nafasi ya kulaumiwa pia njia waliyotumia ikiwa ni pamoja na kashfa,dhihaka kibao walizotaja kuhusu uongoz uliopo hazitupi iman kuwa na wao ni wana demokrasia kama wanavojitapa yale sio mawazo...
  4. N

    Hamisi Kigwangalla ni-tayari kwa mdahalo na mtu yeyote yule!

    ndugu Kigwangala,jaman mim nina swali,hivi kweli kulikua na haja gan ya kumtukana mtu mzima tena aliekusaidia bure kutokana na udhalimu wa serikal hii,hata kama humheshim,basi ungekumbuka hata msaada wake tu.Hivi unadhan kuna siku mhe lisu atasaidia mtu mwenyetatizo kama alokusaidia!maana ataona...
  5. N

    Watanzania tumuombee Obama ashinde uchaguzi wa kesho

    nafikir theme ya alichokiandika co hyo uliyoipata
  6. N

    Sheikh Farid Hadi Ahmed...Kulikoni?

    Hiyo sio alama ya CDM hata kidogo ila ni ishara ya amani I think you know this
  7. N

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Natambua hivo na nadhan madai yanayodaiwa ni kwa ajili ya madaktari wote wanaotibu Tanganyika iwe Wacuba au Watanzania na kama wakirise concern kuhusu wale wa Zanzibar itakuwa invalid Coz madaktari wanaotibu Zanzibar watadai huko huko kene serikali ya Umoja wa Kitaifa ila ni iman yangu kama hawa...
  8. N

    Mzee Wassira shule yako dawa tosha!

    kila siku kila mwaka wanatoa Shule nzuri but sasa ni more than 50 years matunda ya Shule nzuri hizo hatuyaoni Nape sa hii cjui inakuwa ina maana gani maybe next time wafanye mbaya inaeza kutukomboa.
  9. N

    Ahmed Rajab; mzalendo au mchochezi ?

    Al-Shabaab wameitwa magaidi na US Coz wanaingilia interest zao nasi tukakubali ni magaidi leo hii UAMSHO nao wataitwa magaidi na tutakubali kwa Sababu ya kuficha ukweli. Sometimes ukweli usemwe tu cna shida na Rajab Ahmed
  10. N

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Sijutii Kuzaliwa tz ila najutia kukutana na watanzania kama wewe, Najua unajua kuwa Kuna chama cha wafanyakazi wote na unajua udhaifu wake pi unajua kuwa kila mtu ana haki ya kuchagua kazi anayoipenda na anapaswa kulindwa katika kazi hiyo na hii ni nchi yetu sote sa daktari aende wapi wakati...
  11. N

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Afya sio jambo la Muungano Mkuu Ndo maana.
  12. N

    Ukweli kuhusu mgomo na madai ya madaktari Tanzania

    Dah! We chai sana you know nothing af una courage ya kukoment kichizi but pole Coz hujui kuwa hii ni nchi yetu sote
  13. N

    Madaktari waipiga changa la macho serikali

    Biblia inasema "watu wangu wanaangamia kwa Kukosa maarifa" So kwa ujinga wetu we will pay for it, that's all. Mi nasaport kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
  14. N

    Should abortion be legal or illegal in Tanzania?

    It is not an issue of what she wants or what she doesn't want but what is right for the moment, because as you know most of us do many things even if we don't want, after all if a mother doesn't want a child but she has already Conceived then she has to choose give out a baby and we will find...
  15. N

    Wabunge wengi wa CHADEMA wameficha CV zao kwenye tovuti ya Bunge

    We co mzima (Hilo ndo nawezachangia tu)
  16. N

    Clouds FM wanavyovurunga akili za watu katika Ukombozi

    Nimekuwa nikisikilize hiki kituo kwa muda sasa na kitu nilichogudua ni kwamba sio management yake wala wafanyakazi wengine wote hawako na nia ya kitufikirisha kuhusu maswala makubwa yenye maslahi mapana ya watu kama wao wanaojitambulisha na wanavojipambanua; zaidi ni kupromote mambo yasiyo ya...
  17. N

    Should abortion be legal or illegal in Tanzania?

    double R Let's not take things for granted. Abortion is not as simple as those activists claiming, you are considering mothers emotion more than life of the unborn child jamani!! Inasikitisha sana
  18. N

    Adhabu ya Kunyonga Hadi Kufa imepitwa na wakati?

    Sidhani Kama haki ya mtu kuishi inakoma pale mtu huyo anapomuua Mwanzake ila inapotokea mtu katenda kosa hilo apewe adhabu itakayomfanya ajutie makosa yake na kama mtu ni hatari basi anazuiliwa mpaka hapo itakapothibitika sio hatari tena.
Back
Top Bottom