Habari wandugu,
Naomba wanasheria mnisaidie kama kuna kifungu chochote katika sheria ya ardhi kinachosema mtu anapouziwa eneo ni lazima kati ya mashahidi wawe watu wanaopakana na muuzaji.
Pia naomba kama kuna mtu ana contact ya mwanasheria mzoefu wa maswala ya migogoro ya ardhi ani pm...
Habari zenu wapendwa, Nili disappear kipindi kirefu lakini kama kawaida we always find our way back home...
It feels good to be back here once again!
Salam kwenu wote..
It hurts me to say this, but am thankful to Zinduna's Talk Show because imeniwezesha ku find out what kind of a TERRIBLE MAN you are Erick!
Bishanga alinipa warning mara nyingi nikapuuzia. And now i have seen for myself.
I cant share a man so am letting u go. Cantalisia naomba usimtetee...
Wana jF..
Naamini weekend inakwenda vizuri..
Kama tunavyofahamu fika binadamu tumeumbwa na wivu, hisia za kutojiamini nyakati zingine, wasiwasi wa mapenzi, hasa iwapo accidentaly au purposely ukakutana na picha za mpenzi wa zamani wa mwenzi ulienae hivi sasa..
Mi nina swali ningependa...
How are you today?
Siku yako yako imeanza vizuri?
Au vibaya? Inakwendaje?
Je kuna lililokufurahisha au kukukera leo hii?
Kuna lipi ungependa ku share with us today...?
Lets socialize. . . .
Ladies and Gents!!
After a stressful week furahi day is finally here.... Jf online party inaanza strictly from saa mbili, venue: Chit chat... hivyo njoo ukiwa umependeza, bring a date if u can.. Its all for fun!! sometimes inatubidi tutupe shida chini turushe mikono juuuuu..
Lets toast to the...
Honestly, there's something amazing about men who dress presentable, smell magnificent, have a clean and well arranged apartment sio lazima iwe luxurious, just having an overall appealing outlook!!
Wanaume mjipende jamani, It really does count so much on how we (ladies) perceive you.. First...
Lets assume this thread is a white board for you to write and say anything that you wish to tell anyone, something you have never said to him/her before....it could be just anything, POSITIVE OR NEGATIVE but all for good... Speak it out with honesty and sincerety. Who knows maybe this is the...
Dear jf members, Have you ever had a date with a stranger (blind date)? that feeling of excitement, nervous and anxiety! lets share your experience.. How did it turn out? Was it what you expected or a big disapointment?
Je, ni wangapi kati yetu tupo kwenye ajira tunazozipenda kwa dhati? Au ndio hivyo inabidi tu kwenda kazini, kufanya kazi ambazo pengine hauzipendi sana (unakuta unalalamika kila siku lakini bado upo) since its your only way to survive?!
You just got a heart break?
"DONT" listen to these songs:
Goodbye- chris Brown
I dont ever wanna c u again- uncle sam
unbreak my heart- tony braxton.
.............add ur list!
Have you ever been secretly in love with your bestfriend (of different gender?) How did it end?
Personally, i just remembered my experience, miaka ya nyuma i had a very close male friend, he was my best friend (atleast by then) but his feelings changed as days went by and suddenly one day he...
Leo nilienda maeneo ya millenium towers, wakati naingia kuelekea crdb nikakutana na mkaka akiwa kwenye mishe zake..The way he was dressd up imenibidi niwashirikishe..
Alikuwa amesukia uzi wa pink, light green, yellow na rangi zingine sikumbuki. Ana hereni masikioni, cheni kadhaa, trouser...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.