Wakuu,
Ninaomba kujuzwa namna ya kumuondoa huyu mdudu aina ya KONOKONO kwenye mazingira ya nyumba yangu, hali ya hewa ya jiji la Arusha ni baridi na hata wakati wa kiangazi unaweza kuta mvua inanyesha kidogo muda wa alfajiri,sasa hali ya ubaridi inapotokea hawa wadudu huibuka kwa wingi na ni...
Usiku wa kuamkia leo mwenyekiti wa mtaa wa olmatejo A jijini Arusha, amempiga mke wa mpangaji wake kwa kosa la mumewe kuchelewesha kodi ya nyumba, bwana Shemweta amekuwa na tabia za kudhulumu na kunyanyasa wanawake kwa kipindi kirefu sana, huyu bwana amejaliwa uwezo wa kifedha jiji limempa...
Nina ndugu yangu alikuwa ameolewa ndoa kanisani, waliishi miaka 12 ya ndoa.
Mume akaja kuanzisha maisha mapya na mwanamke mwingine, alikuwa ni mwanajeshi wanaishi katika nyumba za jeshi mke akaenda kwa ndugu zake mkoa huu hapa Arusha, mume akawa anaenda kulala kwa huyo mwanamke aliempangia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.