Mwisho wao umefka ndo maana hata hujibuji wao wa maswali haueleweki. Yaan hapo wapinzani wachache wanachanganyikiwa je wangekuwa nusu yao c pacngetosha. Kazen buti CDM hao ni waoga kama makunguru ya zenji. Ucwaogope hawana hoja hao zaidi ya kukimbilia kuwachafua wala msjali cc 2ko nyuma yenu.
Tunapaswa kusahihishana pale m2 anapokosea na co kuzodoana hapa sio bungeni, cc nia yetu moja kuijenga Tanzania iliyojaa nyufa tena ziczozibika 2cpoangalia itatubomoke. Ila nawe mtoa habari unatakiwa kutoa habari makini na sahihi ili nac 2pate kuchangia vzr.
Ndio wako wengi wanafki zaidi ya 6 ila bora walionyamaza kimya kuliko yeye anajifanya ni mzuri kwa nje kumbe ni mbwa mwitu 2. Ebu wananchi wenzangu 2fike mwisho kuwachagua vibabu na vibibi maana hatuoni wanachokifanya zaidi ya kucnzia, kukubali kila hoja hata kama hazifai ili kuwakomoa wapinzani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.