vita vya idi amin ni kizungumkuti wa kulaumiwa ni baba yetu aliyetupeleka kupigana vita kwa maslahi binafsi fuatilia ndugu ujue ukweli.........sie ndo tulilianzisha lile dude ndugu yangu
pole wewe
I SUPPORT GADAFI sawa hawezi kukosa mapungufu yake BUT UKWELI NI KWAMBA ALITTHUBUTU KUWA MADHUBUTI...
endeleeni kumshambulia huyu ndugu lakini naaamin kama tutakuwa hai tutakuja kukugundua JAMAA ALIKUWA RAIS.........sasa hivi tumekuwa na ushabiki tu na uhalisia umewekwa pembeni...
MINGU IBARIKI TANZANIA
..........ifikie mahala tujifunze kumpongeza mtu anapofanya vizuri sio kupinga kila kitu itakuwa haileti tija na ndio kinachoendelea mjengoni kati ya pande mbili hata hoja ya msingi akitoa wa cdm wale wa ccm wanaipinga and vise versa tubadilike jamii tukemee uovu na kusaport yale mazuri hata...
hivi hawa walifunga ndoa lini? natoa shilingi kumpongeza dr........kwa hadhi yake na umri alionao kuzaa nje ya ndoa ni utovu wa nidhamu na atapongezwa na wale wahuni tu.............ni maoni tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.