Ama kweli milango yako ya fahamu yamefunga! Haya 2ambie, kwenye hz ahad, kazikamilisha zipi, kwa kiasi gan, na kwa asilimia ngap? Co tu kuleta ushabiki wa kichama.
<br />
<br />
we geniusbrain una matatzo gani?
Mi nilidhani unaikingia tu CCM kifua, kumbe hadi TANESCN! Hv ninavyoandika hii thread, umeme ndo umekata, nilikuw ninasoma kesho nina mtihan asubuh!
U must be Ant-development, then acha ushamba wa mawazo!
<br />
<br />
Ni sawa kabisa, that is a DEFICIT BUDGET, Na inakuwa financed through borrowing!
Ila budget mama ya wizara ya fedha itakuwa haijaonesha hili!
unaongea nini wewe?
Shule yenye mwalimu mmoja?
Wawekezaji BARRICK, RICHMOND, DOWANS,?
Zahanati zisizo na dawa?
Uwekezaji bila umeme, na kodi ya kufa m2!
Barabara ipi?
Nyumba za nyasi!
Viwanda 'GENERAL TYRE' iliyoliwa na magamba!
Maji mgawo!
Umeme mgawo!
Demokrasia ipi ya kumuua mtu...
Hayo maneno kayaseme kule kijijin, tena co vjj vya karbu! U can not fool a literate person, eti maandamano lazma kiongozi, unataka baloz aandamane kumpinga bosi wake?
Kiongoz ni yule aleanzisha wazo la maandamano hayo. Eti hawajui matatzo ya watanzani! VASCO DA GAMA tu ndo hajui matatzo yetu...
<br />
<br />
unaweza ukawa upo ryt, lakn zingatia haya:
kwanza nahc Lema hana makosa, kwann nasema hvyo?
wakat madiwan wakifikia muafaka, Lema alikuwa wapi? (BUNGENI),
je, hawa madiwan wamevunja kanunu za chama au hawajavunja?
(wamevunja),
kama walicmama kwenye maandamano...
Najiuliza saana,
Hivi tulivyokuwa tunaambiwa kuwa chama kina mafisadi tukakataa, sasa hv wanavyoachia ngazi tunajiteteaje?
Tulivyoambiwa chama hakina dhamira ya kupambana na mafisadi tukakataa leo tunajiteteaje wakat Rostam anapete mitaani, tena rais anawaambia wenzake wasitumie majukwaa...
Ndugai kaulizwa swali rahisi la mtego:
"HUOGOPI KUKUTWA NA YALIYOMKUTA SITTA?"
Badala ya kujibu swali, anaanza kutaja sifa za Sitta!
Nikajiuliza, nani hajui wadhifu wa Sitta? Kuwa ni spika mstaafu, waziri, mwanachama wa "CCM", n.k!
Nikajiuliza tena. JE, HILO NDILO JIBU ALILOKUWA AKILIHITAJI...
Unasema ""tatizo watu wanachukua maneno ambayo hayajatolewa ufafanuzi"" ilikuwaje wewe ukaongelea suala la mshahara wa Dr. Slaa, na barua ya kuhimiza maandamano, mambo ambayo hayakutolewa ufafanuzi?
Au kuna mtu alivizungumzia? Vp kuhusu haya magamba ambayo CCM inajivua, kama hayatakiwi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.