Mara kadhaa gazeti la Raia Mwema limekuwa likiandika taarifa za kiushabiki na kiuhanaharakati badala ya kusimamia misingi na weledi wa uandishi wa habari.
Nimekuwa najiuliza kama gazeti hili lina mhariri au mhariri mwenyewe ndio mwanaharakati au haijui kazi yake vizuri.
Nitoe tu heko kwa...
Hakika Serikali ya Awamu ya Sita ina uongozi sikivu na madhubiti wenye kujali wananchi wake kwa kuhakikisha huduma za kijamii na miundombinu safi inapatikana.
Katika kufanikisha hilo serikali mwanzoni mwa mwaka wa fedha 2021/2022 ilileta tozo katika miamala ya simu na kukusanya Bilioni 63 hadi...
Mwanahalisi imeamua kupotosha kwa makusudi kauli ya Mbunge wa Viti Maalum Tanga Mwanaisha Mlenge. Mwanaisha ameshauri Serikali iwe na Ofisi moja tu ya Tathmini na Ufuatiliaji (Monitoring and Evaluation) badala ya kuwa na ofisi ndogo sita ambazo hazina nguvu kwa kuwa zipo chini ya Wizara...
Kenya Vice President William Ruto is behind the ban of Maize imports from Tanzania and Uganda.
Last week, Kenya authorities issued a letter banning the importation of Maize from Tanzania and Uganda due to high aflatoxin contamination
The online letter which was against East African Treaty...
Shirika la Kimataifa la Utafiti wa masuala ya Siasa kutoka China limepinga vikali ripoti ya Amnesty International kuhusu uchaguzi mkuu wa Tanzania na kudai ni ripoti iliyoegemea upande mmoja. Shirika hilo limehoji taratibu na vigezo vilivyotumiwa na Amnesty kuhoji makundi hayo ya watu na taasisi...
Hawa wenyewe wanaomkosoa leo ilikuwa ni ajenda yao, hawakuwahi kuwaza ka.a itawezekana kutekelezwa. Sasa kimekuja chuma na kutekeleza sera hiyo imeisha imekuwa lawama tena
~Na David KAFULILA.
email: davidkafulila0@gmail.com
02 Septemba 2020.
Julai 1, 2020, ni tarehe itakayokumbukwa katika historia ya Tanzania. Ilikuwa tarehe ya kwanza ya utekelezaji wa Bajeti ya mwisho ya Serikali ya Awamu ya Tano chini ya Utawala wa Rais JOHN MAGUFULI; na muhimu zaidi, ni siku...
Picha yenyewe inaonekana imepigwa wakati wa jua kali hata mvua hakuna na inaonekana wewe umelala nyumbani hata hujatoka unagoogle picha ukiwa kitandani na kuanzisha propaganda mitandaoni. Kweli wewe utakuwa unateswa na hali ngumu ya maisha. Kuna vifaa ambavyo vinahitaji ubaridi wa asilimia...
Safi sana, hao mabeberu wasitulazimishie laana. Kila watu wana tamaduni na sheria zao, haiwezekani ukamlazimisha mtu kuishi unavyotaka wewe kisa umemzidi kipato.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.