Hivi karibuni tulisikia kua hao jamaa walitembelea ikulu na kuongea na magu je inawezekana hilo limechangia kupungua kasi ya kutumbua majipu? maana tulitarajia majipu kama tanesco,tcra na haya makampuni ya simu yengefuata kwa kutumbuliwa haraka naona kasi imepungua sana tu.
safi sana kijana MOTOCHINI kwa kupambana kijeda na kudedisha huyo punga mpenda vya dezo bila shaka hata hao mapunga wenzake watatia akili,by the way pole for the loss na kitu muhim kua makini na movements zako na company unazo hang out nazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.