kinachomuuma kagame ni kuona vifaa vya kijeshi vinapita nchini kwake kwenda kongo kwa wanajeshi wa tz.
asithubutu cuz tutamtandika vibaya mpaka sasa hv tushamweka kati ni kumpiga from east n west hana ujanja huyo. he cnt hold the pain baada ya kuona majeshi yetu kongo.
u cnt compare rwanda kwa tanzania hata chembe kwasababu geographically ni ndogo kuliko mkoa mmoja tu wa kagera so facts zako za kiuchumi na kijamii hazina mashiko rem tz s 2nd kiuchumi eac baada ya ke.
Then huwajui hawa wanyarwanda hasa watutsi wanadharau,viburi na majivuno ndo maana kamwanamke...
wafuasi wa chadema wengi ni kama bendera wanafuata upepo eti mtu anakubaliana na hoja kuwa slaa ana kadi ya ccm jst ukumbusho hell no nauliza swali moja hv kuna mtu mwenye akili timamu anayeweka ukumbusho wa kundi baya asilokubaliana nao?
wake up guys hawa watu wanataka madaraka tu sio ukombozi...
ndugu nimekukuba 4 ur reasoning j3 tupo pamoja darasani tumshukuru mungu tumejituma vyuoni na mungu katubariki.
my advise: tufunge huu mjadala jf wa customs officer 4 nw tusonge mbele tusiwe wapayukaji hata kazi hatuijui mlio kosa tunawaombea kila la heri kama ni mungu ndo amekuleta duniani...
vuta subra wakiitwa kazini wataeka tangazo kwenye website PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS inaweza ikachukua kama mwezi 1 so be patient kaka huku unaendelea kutuma maombi sehemu nyingine.
sikubaliani na hiyo hoja na nchi sihami na chakunifanya huna. siku nyingine utakuja na uzi wa kuhusu katiba na uhuru wa wananchi kuchagua sasa leo unawalazimisha sasa haki yao ya uhuru kuamua umeizingatia?
next tym weka hoja kistaarabu great thinkers nvr ask for attention they are jst given
kusema kweli nssf wameumiza wengi kwanza walituma sms late kuna watu wawili nawafahamu walikula pipa tokea mikoani kuja kufanya ile written then wakaleta mizengwe ya pekee bila kuzingatia cost watu walizoingia huku wakijua wanahitaji watu wachache duh! mara wanawapigia cm watu for 2nd tym kama...
bado kimya mkuu vuta subra nahisi wataongeza muda cuz frm 2moro watu wanaseat for cpa exams wanamaliza ijumaa kama wataweka consideration hiyo bt kama unasifa usihofu hawa jamaa hawana longolongo
wivu na husda ni kitu mbaya huyo sister yuko poa kuwa engineer sio kigezo ndo maana kuna fani ya pr kwenye vyuo. mtoa mada unachuki binafsi n u r such a nut
kama ccm wakifanya hivyo watastablize their political situation ingekuwa a win to cdm kama mps wa ccm wangesuport their fellows on front bench. credit to zito n cdm u hv grown firmly in politics to the extent u prefered the in house failure to the boom success kwa wananchi kujenga mtaji 2015...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.