Hi wana JF
Naomba msaada kwa ambae anaweza kuwa na PDF ya vitabu vya kujifunza kutengeneza applications za simu kwa beginners. Nahitaji niwe IT kwa kujisomea mwenyewe, at least now nimejifunza graphics designing na sasahivi napiga kazi vizuri, nmejifunza pia Blogging sasaiv nipo vizuri pia...
Habari wana JF leo nimeona nitoe ya moyoni mwangu kuhusu Bongo Movie. Kumekua na matusi mengi na malalamiko mengi sana kuwa Bongo Movie hamna kitu na watu hawapendi kutazama Bongo movie. Mm nachopenda kusema hapa ni kwamba vipaji vipo na watu wana uwezo japo kweli wapo wazinguaji lakin wazuri...
Habari wana JF
Nina wazo moja la biashara ambalo naomba ushauri. Wazo langu ni hili nataka niwaunganishe wauzaji na wanunuaji wa mazao na mifugo kwa njia ya mtandao. Nina uelewa na Blogs hivyo nitaifungua blog ambayo ndo itakua kama soko la mtandaoni.
Hapa mkulima au mfanyabiashara atabofya...
Jamani Wana JF naomba msaada wa kupata softwares za Adobe kama nne hivi, Primeere Pro, Illustrator, After Effects.
For free, Maana kuna ambazo nilizipataga kwa mdau zikawa zinataka licence key So ikawa ngum kuziinstall kwenye computer yangu. Naomba mwenye kunipa msaada wa kuzipata free
wana JF naomba masaada wa kujua simu gani kwa sasaivi ni nzuri, yaweza kuwa ni brand ya zilezile kama tecno na zingine nachotaka kujua toleo gan wametoa kwa sasaivi ni nzurii sana na bei ya kawaida.
Nimetengeneza simple website ambayo Itawakutanisha wakulima na wafanya biashara mbalimbali wa mazao. website hii itakua inaweka matangazo ya wakulima au wafanya biashara ambao wanauza mazao yao. Na lengo ni kuwakutanisha tuu na biashara wataifanya wao, itakua kama sehem ya kutangaza, naomba...
Habari wana JF,
Natamani sana nifungue NGO's ya ambayo itajihusisha na kuwaangalia na kuwatetea watoto wenye ulemavu na waishio katika mazingira magumu kwa kuwapa misaada midogo midogo na kuhakikisha wanapata haki za msingi kama elimu, afya nk. Nimeshafuatilia jinsi ya kusajili na ada za...
Habari wana JF, natamani sana nifungue NGO ya ambayo itajihusisha na kuwaangalia na kuwatetea watoto wenye ulemavu na waishio katika mazingira magumu kwa kuwapa misaada midogo midogo na kuhakikisha wanapata haki za msingi kama elimu, afya nk. Nimeshafuatilia jinsi ya kusajili na ada za...
Angalia picha hapo chini ni blog mojawapo ya kilimo nilotengeneza .
Miliki blog yako sasa uweke mawazo yako ya kilimo watanzania wasome wanufaike na maarifa yako
Nichek hapa 0759146185
utaelekezwa na jinsi ya kupost mambo yako
Angalia picha hapo chin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.