Mi asubuhi lazima nigonge limau tatu ,iliyo changanywa na tangawizi kisha nakorogea asali mbichi kijiko kimoja,inakuwa chungu sana lakini ukiizoea unaiona tamu na mbadala wa chai,inakuwa moto hasa.
Take home yake ilikuwa zaidi ya USD 30,000.00 kwa mwezi,hela aliyopata kwa miaka 17 ya kazi inamtosha kuwa kati ya Mabilionea Tanzania,Msigwa jiandae Iringa 2020....
Huyu Dr Pima atakuwa anafanya publicity ili apate attention na hatimaye kazi baada ya kumaliza chuo.Hata hivyo hongera kwa ku-graduate,hatutegemei GPA ya 32 hapo.
Ushahidi wa Mazingira upo wa kutosha,tena hiyo ni rape kabisa.Wewe hujaoa,huna mke na uko na mtoto wa kike under 18 mmejifungia chumbani kwaKo,unataka ushaidi gani zaidi?NGOJA TICHA AJIBEBE,HAPO NI MINIMUM 30 YRS IMPRISONMENT
Nakubaliana asilimia 100 na hoja yako,huu ndio ufumbuzi ,kama mtu anaunga mkono,chama chake kiteue mtu wa kushika nafasi hiyo hadi muda wa uchaguzi mwingine utakapofika, ili analopendekeza Nape ni bullshit,mfano mbunge katoka chama X na kwenda chama Y na ubunge wake,then baada ya muda anakuwa...
Hii story na picha hii iliwahi kuonyeswha na CITIZEN ya Kenya kuwa ni tukio lilitokea Kenya mwaka jana,jinsi tukio lilivyohamishiwa Gongo la Mboto mimi na wewe hatujui sababu ila kama ulivyosema ni muendelezo wa kiroba cha mahindi
Hii kali,hakuna dhamana kwa ajili ya usalama wake kwani watekaji bado wako mtaani wanamtafuta ! Huyo huyo bado anakushitaki kuwa umetoa taarifa za uongo kuwa umetekwa wakati sio kweli = Sababu za pingamizi ya dhamana ina mu
Exonerate mshitakiwa na tuhuma anazoshitakiwa nazo
o
Kisheria Mtu uwa anashitakiwa kule alikotendea kosa na sio kule alikokamatiwa,kama alijiteka, ilo kosa lilitendekea Dar au Iringa ? Kuna vitu sivielewielewi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.