Kwa walioangalia chanel 10 jana 01/10/07 [Jenerali on Monday} watakubaliana na mimi kuwa uwezo wa wataalam wetu unatia shaka, mahojiano hayo yalihusha kamisna wa madini na mwanasheria wa wizara ya madini wote hawa wana PHD, mada kuu ilikuwa ni kujibu hoja za mwanaharakati Tindu Lisu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.