Habarini wana Jamii forum,
naomba msaada jamani, nataka kuingiza mbuzi kama 10 aina ya Pure boer breed kutoka nje ya Nchi katika Port ya Dar. naomba kujua taratibu zote za uingizaji tafadhali.
Watanzania tupo nyuma jamani kwanini hizi mbegu zitushinde ?? nadhani hatujaamua bado ...nipo nafuatilia wapi nitapata mbegu hizi za boer ..mm nina mbuzi za local
Habar wana forum ..naomba kujuzwa hili sina uelewa nalo.....mita 1 ya mraba ni 10,000/ ...Je nyumba ya kawaida ya vyumba 4 na fenc inakuwa ni mita ngap za mraba na makadirio ya jumla ya bei yake hicho kiwanja ?? NAOMBA MSAADA
MUNGU AKUSAMEHE SANA NA UKUONGOZE ....DINI SIO UTUMWA ILA DINI NI NJIA YA KUFIKIA MALENGO YALIYOEKWA NA ALIYEKUUMBA WEWE , AMBAYE AMEKUPA AKILI, NA UMBO ZURI SANA LA KUPENDEZA ...MUNGU AMEWEKA MASHARTI YAKE KWAMBA LAZIMA ABUUDIWE HILI SILO OMBI BALI NI LAZIMA ....MUNGU (ALLAH ) ANAKUBALI KBXA...
POLE SANA NDUGU YANGU...KARIBU SANA KATIKA DINI ISIYO NA SHAKA HATA KIDOGO , NDIO DINI PEKEE AMBAYO MUNGU (ALLAH) AMEICHAGUA KUWA NDIO YA HAKI , DINI ISIYO KUWA NA UBABAISHAJI WALA KASORO .WALLAH NDUGU ZANGU HUWENDA BAADAE MTU AKAJA KULALAMIKA KUWA HAKUWAHI KUAMBIWA KUHUS UKWEL WA DINI YA UISLAM...
mkuu naombeni msaada..... nina diploma in clinical medicine nataka kusoma advance diploma in anaesthesia au ophthalmology,inatake ya march/april...chuo gan naweza kupata cha priate tanzania.....msada plzzzzzzz kwa amayejua
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.