Umejibu sawa ila tatizo Voda imepandikiza watu wa kujibu humu ndani kutetea unprofessional conduct. Ni sawa na kusema mtu aliyepata ajali kwa uzembe asipate matibabu atajijua mwenyewe.
MPESA tuseme ni uvivu tu wa kufikiri nakujiongeza ilitakiwa wafuatilie. Mteja aliyechukua ni wa VODA halafu aliyechukuliwa hela zake ni wa voda hii ni sawa na mama kumficha na kumtetea mtoto mtukutu alitempiga kaka yake. VODACOM kuweni waungwana
Mtu anamamlaka ya kulalamika kwa sababu haijakuwa revealed katika mkataba wowote kama ukikosea namba basi usitufuate ni juu yako. MPESA ni muhimu waka weka open kuwa kama ukituma fedha wrongly basi haiwahusu na wawasainishe wateja.
Tatizo la Mitandao yetu ya simu inatumia cheap labour na na watu ambao wamezoea kufanya kazi kimazoea na very short foresight kiasi kwamba kufikiri beyond the horizon ya meza zao ni ngumu sana
Ninaamini kabisa pamoja na joking nyingi zinazoendelea kuhusu hili jambo bada VODAcom wanaweza kufanya follow up huyu mtu aliyechukua hela akapatikana hata kabla ya saa 12 jioni. Paypal wana utaratibu wa namna hiyo hakuna mahali watasema eti ni uzembe bali wao ukosee usikosee watahakikisha hela...
KKKT siyo NGO; wewe CCM ikikuambia kinyesi chako ni chakula naamini utafakamia bila kutaka ushauri. Haiwezekani akili haifanyi kazi kiasi cha kutokuwa na chembe ya uchambuzi wa mambo yanayohusu serikali. Wakati mwingine ukweli unakuwa mweupe sana kiasi kwamba kwa wa kereketwa kama wewre njia...
Mtoto wangu six yrs Aliniambia anataka amwone Mungu nikamwambia ukimwona Mungu utakufa akasema basi nikifika alipo nitafumba macho ili nisife!!! ; watoto ni raha na very funny
Wanawake wote ni kitu kimoja ila wanachotofautiana ni timing tu. kuna anayeanza urafiki akijidai hajafuata hela ila amevutiwa na wewe ila baada ya mapenzi kukolea atakupa mipango ya malaki -mamilioni. wengine siku ya kwanza tu ameanza kulia njaa na hawa hawahitaji hela nyingi lakini taabu yao...
Tujikite kwenye swali la msingi mwenzetu anahitaji msaada. hivi vingine mnavyochungulia chungulia kuvichunguza mwachieni; inawezekana hii TV ya mahali maalum
Kama una ugomvi binafsi au unamtaka Shoo kwa mambo yako basi mfuate kule Moshi na si kumchomeka kila unapotaka. Shoo sio ndugu na Lowassa ni Askofu tu msomi na anayejitambua. sijaona chochote alichokifanya kuonyesha yeye ni member au pro CHADEMA
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.