Inaonekana Mkapa na JK walikuwa na mawazo tofauti on this issue. The rest ndio hiyo habari ya kuchukuliwa Kigamboni. Najiuliza ilikuwaje Mkapa alikuwa na uwezo wa kuwatolea nje hawa waamerika pamoja na presha zao?
Article 98 ---------- ¶3. (C) Minister Migiro took time out from the six-day...
mimi hizi makala siwezi kuzisoma zote kwani nina mambo mengi ya kusoma humu na umeme wenyewe utakatika at any time.
Dawa hapa ni kupetition these bastards in the cabinet to resign.
Mwanakijiji tushachoka na makala tunataka umeme...je unayo any radical idea ya kupata huu umeme?
Najua watu watakuja hapa kusema kuwa hatuna uzalendo lakini ukweli lazima usemwe.
Last week viwanda 6 vimefungwa Keko kwa sababu hakuna umeme...hivyo waajiriwa wamekuwa laid off, hivyo hawatoweza kuwalisha familia zao na pia hawatoweza kuwasomesha watoto wao...na hawa ni watu wa kipato cha...
Juzi Rev Kishoka kaandika thread humu na usomi wake wote yule bwana hesabu zake eti kwa miaka kumi ijayo walau tuwe na 1200 megawatts
Nikaona huyu jamaa anawazimu au ndio upeo wa kufkiria umefika kikomo?
I mean in 10 yrs time tutakuwa na watu milioni 48 , huku tunataka na viwanda vifunguliwe...
Leo hii ni siku ya 3 hatuna umeme hapa kwetu.
Nishachoka. Kama huo umeme unaletwa na Rostam au sijui Symbion..mimi I care less. Nataka umeme that's it
mengine mtajuana wenyewe na nakala zenu ndefu
Legal cause is a complex topic, which there is no need nor time to examine here. However, I want to distinguish between that which causes the motivation or intent for committing the act and that which causes the result or harm of the act--namely, the act itself. The former is largely a matter...
Thanks for thinking outside the box
1. The man is still innocent
2. No court of law has found him guilty of anything
welcome to the jamii forum MOB MENTALITY aka GREAT THINKERS MENTALITY
So you want to condemn people based on assumptions? are you really serious?
Either way those are...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.