Umejenga kwa ela zetu! Barbara ya makambako Songea usitudanganye ilikuwepo , Barbara ya Mbeya chunya umetumia gharama kubwa kutokana na kukaa mda mrefu tangu 2009 halafu unakamilisha 2015 km 60 tu ili uombee kura,tueleze na hasara za Barbara kukaa mda mrefu kujengwa ilikhali mkandalasi yuko...
Duuuuuuuuuuu!!!! Natamani elimu hii ya mawakili iwafikie wananchi wengi ili kujua kiini cha wakuu wa nchi kung'ang'ania kura ya maoni ifanyike kabla ya uchaguzi mkuu.
Habari wana JF!!!
Nimekuwa nikitamani kujua nn chama tawala kinafanya na ni yapi matarajio ya CCM kwa wananchi wake na kipekee kwa wanachama wake. Mwl Nyerere katika maja ya hotuba zake alisema ili nchi ionekane inatawaliwa na sheria ni lazima wananchi wake wajue kesho kuna nini!
Chama...
Nina mambo mawili nomba uyaweke wazi ii nasi wananchi tuhisi hilo ongezeko
1. Ni vipi ongezko hilo linamtoa mawananchi kutoka katika lindi la umaskini?
2. Mkuu nikusihi ubadilishe hizo figure kutoka USD kuwa Tshs. itapendeza, si kwamba sijui ili kwa kuwasaidia wasiojua kwani kwa sasa mwanachi...
Ni uzembe wa khali ya juu kwa viongozi wakuu wa nchi kutokujua mambo mapema na kuyaweka wazi mapema, mimi nashangaa watu wako ofisini wanalipwa mishahara ya kodi yetu ili wawe makini na utendaji wao lakini wana kuwa na maamuzi hovyo hovyo, eti kura lazima ifanyike april 30 huku khali harisi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.