Wakimpitisha makongoro jimbo linapotea kabla ya uchaguzi na madiwani tunakosa jimbo lote.... wasituleteee uhuni....aliyepita ni kamanda dada anatropia katibu wa jimbo sasa kuna fitina zinafanywa na mwenyekiti na viongozi wengine wa jimbo wameahidiwa milions of money na makongoro wampitishe yy...
watanzania ni wanafiki sana mbona auhulizi Pasco anasubiri nini na co wenzake wa radio ya mawimbi walijinasibu wapo upande wa mzee EL ... mzee akichukua maamuzi magumu utaona mikia yake inavyounga msururu..... wakati mwingine akili za watanzania nizakipekee
mi uwaninawasifia hata kama ni wabaya kwani awajijui unadhani wengine unakuta reception na usafiri zerooo inabidi umsifie na yeye kama ni zuzu lazima achanganyikiwe
mkuu soma mwenyewe huyu mmakonde nijembe la ukweli
http://www.dailymail.co.uk/sport/football/article-2365454/Chelsea-apologise-Brazil-Ramires-confusion.html
mkuu sijakuwepo arusha kwa kipindi kama miezi sita ila kunakipindi nilipita kimandolu maeneo ya kurugenzi kumsalimu mama mkwe wangu katika maongezi yetu akagusia siasa na kiumri ni mama mwenye umri mkubwa lakini mapenzi aliyoyaonyesha kwa chadema yalinipa faraja sana nikajua chama kipo miyoyoni...
ipo siku utavua gamba na kuvaa gwanda kamanda kama ulivyoandika hapo juu.ila ninakukubali sana kamanda Ritz naomba kujua Rejao na MALeria sugu wako wapi
dada usiwe mbishi mbona twiga walipakiwa wazima wazima kwenye ndege jiulize walipakiwa airport gani ,na walikaguliwa na nani hadi wakaruhusiwa kupanda kwenye ndege alafuuuuu uko walipopelekwa ni airport gani walishushiwa na walitokea mlango up hapo airport,,,ihii ndio bongo daslaaam nenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.