Hiyo ni kweli na inaweza kuwa tatizo, huwa nawasha gari bila kukiondoa, na kweli sikujua hilo mkuu!
Nakushkru sana kwa elimu na msaada kwangu Mr Ngusho!!
Wadau, Hbr za maisha yetu ya kila Leo?
Nina tatizo la hiv vinavyoitwa "viberiti" ambavyo hutumika kwa ajil ya kupata mziki kwa kutumia flash! Nikikitumia ni wiki 2au 3 hakifanyi kazi tena!
Nimenunua zaidi ya 3 hv tatizo hill hilo! Nisaidieni wajuzi wa hayo mambo, napenda sn mziki nikíwa kweny...
Habari za majukumu wadau?
Tunafarijika kwa habari na taarifa mbalimbali kuhusu Magari!
Nimekuta kwenye taa za nyuma kuna unyevunyevu ndani ya taa moja! Ndo nini hicho? Na kukiondoa ni kwa njia gani?
Thanks in advance,
Habar za mapumziko ya Karume Day? Naomba ushauri wakuu, navua matairi kwa mara ya kwanza!
Naomba kujua nivae size ipi na aína gani kwa uimara na ubora hapa kwetu Bongo nchi ya majaribio kila leo!
Size nilizokuwa nazo toka Japan ni 185/70R14 88S!
Asanteni sana kwa huduma hii nzuri!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.