Chakumsaidia ni hiki,ni bora aamini kua moto upo ila asiukute,kuliko aamini haupo then aukute,hapo ndio atajua ni kwanini risasi ilipigwa juu ikaua mtu ndani ya gar.
Hakuna ambae anaweza kuku zuia hata upigiwe ngoma kwenye maskio, ila uwezo wa kuacha upo ndani yako yan we ndio mwenye uwezo wa kuamua kuacha ukitaka kuacha utaacha,ime cost wengi.
Viwatu vyenyewe vinaapishwa ni viongo viongo hadi ukweli umesha vikimbia,rushwa asubuhi ufisadi jioni,akiapishwa anaaaaapa huku ametoa macho utasema fundi saa kapoteza mshale wa sekunde.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.