Habari sana wakuu! nakuja katika jukwaa hili kuuliza suala nililolitaja hapo juu katika anuani ya ninachotaka kuuliza.
Mimi niliombewa kibali na mwajiri wangu kwa katibu mkuu utumishi baada ya kupata kazi mpya, kwa kuwa niliwahi kuwa mtumishi hapo kabla. Sasa tangu nimeombewsa kibali ni...
Kwa hali ilivyo sasa inaonesha ule utamaduni wa makundi ya kuwania urais 2020 yameshajipanga na yako mkao wa kuelekea kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu ujao.
hivi karibuni tumeona kumekuwepo majibizano ya kisiasq kati ya wanasiasa wawili hasimu kutoka ndani ya ccm bwana Benard Membe na Rostam...
Wakuu habari za majukumu!! Niende moja kwa moja kwenye Mada.
Ninaomba ushauri nini natakiwa kufanya kuhusu hili suala langu.
Mimi ni mwajiriwa serikalini kupitia moja ya wizara.
Nilifanya usaili katika taasisi ya umma mwaka huu mwezi wa nane na nikafanikiwa kupata kazi katika taasisi Hiyo...
Asilimia zaidi ya 90 ya wanafunzi walioomba mikopo wapo katika sintofahamu juu ya hatma yao ya elimu.ukizingatia vyuo vimeshafunguliwa,
Kama kuna taarifa yoyote rasmi toka bodi tujuzane wadau. Maana hali si nzuri
Kwako mheshiwa waziri,
imani yangu ujumbe huu utausoma wewe binafsi ama wasaidizi wako watakufishia.
Mh, waziri mimi ni miongoni mwa watumishi wizara ya afya nikifanya kazi moja ya hospital za mikoa hapa Tz chini ya wizara yako.
Mimi binafsi ninayo masononeko makubwa sana, ingawa na wengine...
Wanajamvi wazalendo karibuni katika mada hii tuchangie.
Hebu tujaribu kupiga picha uchaguzi ujao lkn bila kusahau huko nyumba tunakotoka tangu nchi yetu pendwa Tanzania imeingia katika mfumo wa vyama vingi.
Kuanzia 1995 ambapo uchaguzi wa vyama vingi umeanza kumekuwa na kupiga hatua kadha wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.