Hello comrades,
Brand new howo tipper available with 0 kilometer, for lower price of only 160m plus registration.
Come and grab it quickly.
Only one unit left.
Siku za hivi karibuni tumezoea kuwaona wazee wa Robo Fainali CAF aka mwakalobo aka kolowizad aka boss wa kununanuna wakipika data mbalimbali ili tu wawapiku wapinzani wao wa jadi ambao kwa sasa ndio talk of the country, Yanga.
Sasa inasemekama Mayele kauzwa kwa takribani 2.8B, record ambayo...
Gari yangu aina ya toyota liteace ya dieseli ina toa muungurumo mbaya na kutoa moshi.
Pia taa ya check engine inawaka. Fundi wa kwanza akasema tumeweka mafuta machafu hivyo tusafishe tank. Fundi wa pili akasema tununue diesel treatment tuweke, na watatu akasema switch ya kwenye pampu ama pampu...
The four new models each weigh under three pounds and come with 10th-generation Intel Core processors and bigger batteries than their predecessors, but retain their premium price tags.
It's been over four years since LG introduced its Gram laptop to the world, its name suggesting the company's...
Huyu dogo kwenda dortmund mechi 2 goli 5 tayar kaweka kambani.
Mechi ya kwanza goal 3 (hat trick) mechi ya pili jana kamba mbili safi. Man u mnafeli wapi?
Uzi tayari
Habari zenu?
Moja kwa moja kwenye mada
Binafsi ni mmoja wa watu waliokiwa wakikerwa sana vitendo vya baadhi ya watu ambao tunaweza kuita sijui ushamba, ulimbukeni, kutokujua au kukosa utu.
Unakuta ajali mbaya imetokea either moto, au ajali nyingine basi watu wanapiga mapicha na vi "tecno" vyao...
Pata mihogo safi kutoka mkuranga, njoo mteja serious tukuuzie mihogo mibichi iliyotayari kwa kuliwa. Mihogo ipo eneo la ekari 8 hadi 10 ni wewe kuja pm tuelewane tu.
Offer: mteja wa kwanza atapa ofa ya KULA bureee matunda yafuatayo akiwa shambani
Papai
Nanasi
Passion
Ndizi kisukari
Etc...
Wadau heshima kwenu.
Naendelea kupata maoni yenu kama kawaida, naomba kwa mwenye uzoefu wa hizo gari tajwa hapo juu aniambie nini hasa utafauti wake hasa kwenye
1. Ulaji wa mafuta..wastani km ngap kwa lita 1 kwa zote 2
2. Ipi ipo comfortable zaidi ya ingine
3. Ipi ina nguvu zaidi ya ingine...
Wadau heshima kwenu,
Naomba kuuliza kama kuna mtu aliwahi kununua gari ronimotors thailand nataka kununua pick up double cabin. Sasa hawa jamaa siwafahamu na bei ya pickup imenona kidgo nisije kuingia chaka.
Asanteni
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) inapenda kutoa wito kwa wamiliki wote wa vyombo vya moto kwamba kuanzia sasa, yeyote atakayepoteza kadi ya gari atatakiwa kutoa tangazo la kupotelewa kadi hiyo kwenye gazeti pamoja na taarifa ya upotevu kutoka kituo cha Polisi na kuleta nakala za taarifa hizo...
Kichwa cha habari kinahusika.
kiwe kimepimwa na hati mkononi, tambale na ukubwa usiopungua sqm 1200. bei inaanza 15m. kisiwe mbali sana na barabara. njoo pm chapu tumalize biashara ukalipe ada za watoto...vyuma takwimu.
Thanks
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.