Umeme wakatika wakati wanafunzi wakifanya mtihani.Ilikuwaa yapata saa 1:30pm hivi toka mtihan uanze na kuisha ilikuwa ni saa 2:00pm.Hivy Utawala ukatoa tamko kuwa mitihan ikusanywe hata kam mwanafunz hajamaliza kujibu maswali yote!Hii ni aibu kubwa kwa chuo kikubwa kina hicho kukosa Generetar...
Huyo huwa ni futa thatzwhy mr 2 a. K. A sugu aliwapa kubwa kuliko katika antvirus
sio hivyo tuuuuuuuuuuuuuu ila ameanza kujisogeza kwa huyo papa ili kama akichukua uongozi tena ampe shavuuuuuuuuuuuu:a s 103:
Kumchezea mtu ni tungo tata hivyo maana yake
unaweza kuipata vizuri ukituelezea hilo neno limetumika katika mazingira yapi?
But take care utapotea.baya lisilo kuzulu ni sawa na jema lisilo na faida
Huyo JK hana uwezo wa kumuweka mtu madalakani ila ni Nguvu ya umma ndio inao huo uwezo wa kumuweka mtu katika hiyo nafasi ya Urais.After all hata yeye alipita tu kimagumashi:fish:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.