Search results

  1. Rhz4567

    Utabiri: Simba Sc na Young Africans hawana uwezo wa kufuzu Robo fainali Club bingwa Africa msimu huu

    Simba Sc na Young Africans hawana uwezo wa kufuzu Robo fainali Club Bingwa Africa Msimu huu. Wajipange msimu ujao waje kivingine
  2. Rhz4567

    Msanii Vumilia yupo wapi?

    Wale wakongwe wa miaka ya mwanzoni mwa 2000 hadi 2007 mtakuwa mnamkumbuka msanii waa bongofleva aitwae vumilia alitamba sana na nyimbo zake nzuri kama, tatizo ni Umasikini, Utanikumbuka na ile iitwayo Ukweli ni kwamba aliyeshirikiswa na Maru biti kali ikipigwa kwa big time production na saiid...
  3. Rhz4567

    Msaada wa nini cha kufanya baada ya panya kula pesa

    Panya wametafuna pesa zangu zaidi ya laki tano,pesa zingine wametafuna kabisa Nikizipeleka benki watazikubali kweli kwa hizi nilizo zipiga picha
  4. Rhz4567

    Tarehe 05/Jun,1997 ndiyo tarehe niliyo zaliwa!

    Shukrani nying sana ziende kwa Allah na Wazazi wangu ,leo tarehe 05/June 2022 nimetimiza umri wa miaka 25. Sasa nita focus kwenye uwekezaji wa biashara tu.
  5. Rhz4567

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    HALIMA MDEE NA WENZAKE 18 WAFUKUZWA RASMI CHADEMA Baraza Kuu la #CHADEMA limezitupilia mbali Rufaa za Halima Mdee na wenzake 18 wakipinga kufukuzwa uanachama na Kamati Kuu ya chama hicho kwa kukubali kwenda kuapishwa na kuwa wabunge wa Viti Maalumu bila baraka za chama ====== UPDATE: Halima...
  6. Rhz4567

    Mapendekezo: Serikali kupitia Wizara ya Fedha na Mipango ifute matumizi ya fedha za sarafu na itengeneze noti mpya ya shilingi elfu 20 na elfu 50

    Matumizi ya fedha za sarafu yanaakisi ni kiasi gani watanzania bado wapo nyuma kiuchumi,ni risk kuzihifadhi kwa maisha ya sasa kwasababu hata kuzihifadhi tu mifukoni au kweny bahasha ni usumbufu mkubwa, Hivyo napendekeza watengeneze noti mpya ya elfu 20 na elfu 50 ili kuweza kupunguza idadi ya...
  7. Rhz4567

    Msaada wandugu

    Gego linaniota pia pembezon mwa taya kuna vitissue vinaota hapa nilipo mandible tissue zinaniuma sana nitumie dawa gani nitulize haya maumivu,leo nimeshindwa kabs kutafuna vyakula,nikiachama ubaridi ukiingia kinywani napatwa na maumivu makali sana Tangu asubuh nakunywa maziwa na maji tuu.
  8. Rhz4567

    Wananchi wa Tanzania tunamkubusha Mh Rais

    Wananchi tunauliza nilini hizo Mil.50 kila kijiji zitatufikia? Mh. JPM ahadi yako umeisahau? Muda umeisha ni wakati sasa wakujitadhumini; je, umetimiza ahadi hii kwa wananchi? Kwenye kampeni zako utatueleza nini ili tukuamini tena?
  9. Rhz4567

    Mchekeshaji Teacher Mpamire kutoka Uganda

    Wapenzi wa Comedian wa Teacher Mpamire na wasiyo mjua huyu mchekeshaji ni kiboko kwa kuchekesha Style anayo itumia kushekesha watu ni style nzuri sana Kibritish chake kipo poa Sana, Kwanza hana swaga za kiboyaboya Kama wachekeshaji wengine wa kitanzania Kama kuna member hapa anaweza kushare...
  10. Rhz4567

    Kiwanda cha Nyumbu

    Tanzania Automobile Technology Nikiwanda kinacho jihusisha na kutengeneza magari hususani ya kijeshi Ila leo nilikuwepo wilaya moja kongwe hapa mkoani Dodoma Nikakutana na gari aina ya Land rover rangi ya kijani kiukweli hii gari inafanana Sana na gari zinazo tengenezwa na kiwanda cha nyumbu...
  11. Rhz4567

    Tujuzane: Tanzania kuna mitandao mingapi ya simu?

    Hapa Tanzania kuna mitandao mingapi ya simu za mkononi List yangu ninayo ijua VodaCom Smart Tigo Airtel Halotel Sasatel Zantel Viatel Smile Ttcl Wanandugu karibuni kuongezea mingine
  12. Rhz4567

    Kumbukumbu:

    Hii gari ni toleo la mwaka gani
  13. Rhz4567

    Unakumbuka nini kuhusu Redio ya Kaseti

    Mimi nakumbuka kipindi hiko kama unakwenda kuchunga mifugo upo nayo mkononi kwenda kulima na kupalilia mazao lazima Kaseti iwe pembeni bila Kaseti kipindi hiko nisawa na kijana wa sasa bila smartphone kaka zetu na baba zetu walifaidi sana ujana
  14. Rhz4567

    Sherehe za birthday: Kwanini tusisherekee juma la kuzaliwa badala ya tarehe?

    Salam ndugu wana JF, Hivi kuna ukweli kwenye zile siku tunazo sherekea siku zetu za kuzaliwa? Mfano mtoto kazaliwa leo siku ya ijumaa tarehe 23 ikifika mwakani tarehe kama ya leo, siku itakuwa siyo Ijumaa hivyo basi kwanini tusiwe tunasherekea juma la kuzaliwa badala ya tarehe ya kuzaliwa...
  15. Rhz4567

    Why JamiiForums drive me crazy

    Binafsi mimi nisipo peruzi jf huwasijisikii vizuri kabisa nimekuwa mwanajf Kwa muda mrefu Sana pia nitaendelea kudumu jamii forums
Back
Top Bottom