Yaani Mimi kabisa, nkajua nkatabia kangu mwenyewe [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Tena nimelala nipo usingizini kabisaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa Maada anaitwa sexless, zakuambiwa changanya na zako, endeleeni Kutia viungo, mkishaweka juice ya Ndimu mnaweka na kachumbali Kabisa Ili hiyo mimba ikome Kabisa, utafikiri Kuna dhambi kupata mimba ilihali ushaambiwa kitanda hakizai haramu
Mie nakumbuka tu Mwanangu huna nidhamu ilivyofanya had wazee waanze kusikiliza bongo fleva, Hongera Sana Dudubaya, kuanzia 2000+ Watu walijituma Sana na bongo fleva lakin malejendari hao saiv hawajulikani wako Wapi Au walishaamua kufanya vitu vingine na wengine kujiingiza ktk Madawa ya kulevya...
Halafu hili linafanyika mtu anapotaka kutuma hela inaonekana Kama side B Kuna Shida, rafiki yangu kapingwa Laki 2+ kwa Hizi Hizi text za Vodacom, inabidi waje wajibu hapa, itakuwa ni mawasiliano yanahakiwa Au wafanyakazi wao wenyewe Ndiyo wanaiba
Kuanzia post yako pale huu #6 umetema madini tu, na unaendelea kuyatema, tell them mahusiano ni kuchukuliana na kusameheana baaaaaaasi, viungo vingine ongeza mwenyewe na chumvi koreza unavyoweza Kule kwa fundi selemala, wanawake waaminifu wapo kibao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.