Wakuu habari zenu
Nina simu yangu nimenunua majuzi hapo(haina hata week?) aina ya samsung hzi A 51 series....sasa jana imeisha chaji ikazima nikaichaji fresh kuwaka ndo ikaanza mazengwe fingerprint haipo na pattern haichoreki (do not draw)
Msaada juu ya tatzo hili wakuu
Chief-Mkwawa na...
Habari zenu wakuu
Huu uchaguzi kwangu hauna mana zaidi ya posho tu nile na Mimi kodi yangu aisee......sasa mambo ya huko nayo ovyo kabisa
Msimamizi mkuu jumla posho kwa siku zote tano anakula 150000tsh
Msimamizi msaidizi jumla kila kitu nae kwa Sikh zote ni 140000tsh
Ndugu zangu makarani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.