Search results

  1. Bismack

    Kiutani utani

    Hapana mkuu ni haki yenu wanafamilia wote
  2. Bismack

    Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

    Kuhusu kuosha vyombo hapo ndo usiseme vyangu vinakaaga mpaka siku tatu
  3. Bismack

    Mabachela: Ni chakula gani kigumu kupika geto?

    pilau linanizingua
  4. Bismack

    Kauli kwamba watanzania wana ugonjwa wa kuamini kila kinachoandikwa ktk mitandao! Rais amewakosea watanzania

    Tingatinga njiani baba pishia mbali halina breki dreva wake kelewa mataputapu
  5. Bismack

    Picha bora ya leo....weka yako pia!

    Daa huyu jama anasura mbovu kweli
  6. Bismack

    Kiukweli ukombozi unahitajika kwenye nchi yangu.

    Ebu angalia hata mabasi ya wanayoita mwendokasi wameshindwa kuuendesha huu mladi, Tiketi wanazo toa si electronic tena ebu angalieni kiukweli leo nimechoka.
  7. Bismack

    Kujihusisha kimapenzi na vitoto vya miaka 16 hadi 22 ni tabu tupu

    mmmh mimi naviogopa sana hivi vitoto havichelewi kukuaibisha kitaa na kuonekana huna heshima kabisa.
  8. Bismack

    Wanawake tuheshimni jamani tunafanya haya kwa ajili yenu na watoto wetu

    wakati nasoma nilikua naamuka asubuhi sana kwenda shule kitu ambacho wakati mwingine kilikua kikininiuma sana mana kuna wakati kunakua na baridi ila unalazimika kuamuka, nilikua najitahidi sana huku nikiamini siku nikimaliza shule adha hii itaisha kwani nitakua nimepata ninachokitafuta. Lakini...
  9. Bismack

    Hivi nini sababu ya kigugumizi cha gafla?

    Hii hali hua inamtokea rafiki yangu mara mojamoja sasa hua najiuliza mbona mara nyingi hayuko hivo, Tafadhali mwenye kufaham chanzo anifahamishe.
  10. Bismack

    Kitu gani hufanya mwanamke ampende mwanaume asiye na kitu na kuwakataa matajiri?

    Hahahaaaa hivi hii bado ipo kweli ? mwanamke amkatae tajiri kweli ? cjaona
  11. Bismack

    Mapenzi na vituko vya chumbani!

    jamani subilini tumuage masogange mama wa msambwanda R I P
  12. Bismack

    Watoa povu

    Mmmh kumbe sahivi na wanaume tuanze kupaka kipodozi kama wakongoreze
  13. Bismack

    Yahusu kufuta kauli

    Hata ambao wangemfunga kengele wakimkalibia tu wanatugeuka na kumsifia.
  14. Bismack

    Bado siku tano ufika siku ya muungano ila sioni shamlashamla .

    Hivi tarehe 26/4 kuna maadhimisho ya muungano kweli? mana miaka ya nyuma tulikua tunaona mishemishe zikianza mapema. Tafadhali mwenye kujua sababu inayofanya watu wawe kimyaa hivi kwa jambo mhimu kama hili anijuze sababu.
  15. Bismack

    TANZIA Agnes Gerald ‘Masogange’ afariki dunia Hospitali ya Mama Ngoma, Mwenge, Dar

    Jamani kwenye mambo kama haya ya kuumiza tujalibu kua serious, kila mtu ana madhambi yake
  16. Bismack

    Hivi nani aliwahi kutumia hii kauli ?

    UNAISHIKASHIKA NI YAKO? nikumbusheni jamani mnao kumbuka aliyetumia hii kauli.
Back
Top Bottom