Kwa hiyo wewe ndio umeona pros and cons za ku allow developer mode kuliko wataalamu wooooote wa NMB. Aisee [emoji23][emoji23][emoji23] Kwamba Bank waliweka hiyo feature bila kujua kwamba haina faida
Halafu jamaa hakutakiwa ku attack developers wa NMB. Developers wanatengeneza solutions kutokana na policy za kampuni sio kujiamulia. Hata yeye angekuwepo kwenye hiyo team angefanya kama policy inavosema. Asingeleta ujuaji kwamba mbona CRDB inafanya kazi with developer mode [emoji23][emoji23]
Kwako hizo app za ku clone ndio zinampa nguvu akosoe developers wa NMB kisa tu wao wanaona developer mode isitumike kwenye app yao? Mbona yeye app yake hiyo nime signup na password 123456 na imeingia. Huyo ndio wa kuzungumzia NMB kweli? Awe serious
Leongo ilikuwa kumrekebisha na kujua kama ashawahi tengeneza financial app za kampuni kama Bank tujue. Hivyo vi app vyake hata user akiruhusu rooting hakuna issue
Hizo apps zake zinaingiza Tsh ngapi? Au zimebeba risk kiasi gani kwa watumiaji? Unafananisha draft na financial app mzee? Na wewe wale wale tu. Akasome guidelines za OWASP ndio aanze ubishi
Hebu tupe na wewe app yako playstore tukusahihishe. Maana kuongea bila kujua kwa nini wao (hata kama wengine hawafanyi) wamezuia. Tuma link tuone app zako kaka. Asante
Kwa lugha nyepesi ni njia ya mifumo miwili au zaidi kuwasiliana. Kwa Mfano unapofungua application ya Mpesa kwenye simu na kutuma pesa, application inatuma na kupokea data kwenda mifump ya Mpesa kutumia API. Ni kama njia ya kupitisha data
Fanya hivi kabla hujatoa hii kazi
1. Nunua domain uwe nayo kabisa
2. Lipia hosting uwe nayo kabisa
3. Tengeneza logo uwe nayo kabisa
Halafu ndio sema nina vyote hapo juu nataka website kwa laki. Hapo utakuwa kidogo umeeleweka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.