Wale wa mkwaja,kipumbwi,sakura,mikocheni,mwera,ushongo,bweni,bomani,mnyongeni,sokoni,boza,kigombe mpaka Kilale wamekula burudani bure. Usiku wakipigiwa na taarabu kijamvi basi ubovu na mashimo ya stand wanasahau
Africa ngoja tuendelee na Internal Combustion Engine
Kwenye trucking hata South Africa matajiri wananunua roli mpya za mwaka 2023/24 kufanya long haulage ya copper kutoka Congo DRC kwenda Durban Port na Port Elizabeth hawataki hizo Electric Vehicle mazingira sio rafiki hata kama ni nafuu kuzidi...
Yesu licha ya kazi ya Injili alikuwa akimsaidia baba yake mlezi ufundi selemara, huyu mchungaji yeye sadaka za wavivu ndio zina mpa jeuri za kutaka watu wafanye manual works zama za science and technology
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.