Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi leo kwa kile inachosema ni uchochezi na kwamba
Mhariri, mara zote katika utetezi wake amekuwa akinukuu kifungu cha 18 cha Katiba ya nchi yetu ambacho kinatoa uhuru wa kutoa maoni na kwa makusudi kutonukuu kifungu cha 30 cha Katiba hiyo...
Baada ya serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi leo kwa kile inachosema ni uchochezi na kwamba Mhariri, mara zote katika utetezi wake amekuwa akinukuu kifungu cha 18 cha Katiba ya nchi yetu ambacho kinatoa uhuru wa kutoa maoni na kwa makusudi kutonukuu kifungu cha 30 cha Katiba hiyo...
KAULI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI: 'Kuwa na nywele nyingi haimaanishi una uwezo wa kufikiri', sasa baada ya Lissu kuilaani kauli hiyo akiitafsiri kwamba ina lengo la kumdhalilisha yeye na wengine kwamba wana nywele lakini hawana uwezo wa kufikiri, akamwomba naibu spika amwamuru AG aute kauli...
members, hebu fikirieni ingekuwa ni mkutano wa CCM halafu wakatokea wanachama wa CHADEMA wakafanya fujo na hatimaye wakauwawa baadhi yao na washabiki wa CCM! Je kesi bado ingekuwa ina sura hii ya sasa? Nadhani CHADEMA wangeshutumiwa kwa kuingilia mikutano ya chama kingine na kufanya fujo. Tena...
Hadithi yote hii ni ya kusadikika sana katika uhalisia.Imeandaliwa story itakayoleta maana ili mtu huyo aliyepandikizwa apotoshe ushahidi wa kweli. Jiulize;
1. Jambazi gani linaweza kwenda kanisani kujitambulisha kirahisi tu kuwa ndiye lililomtaka Dr. Ulimboka? Hii inahitaji mabadiliko ya kweli...
Ndugu senior member, nadhani nawewe huna taarifa sahihi katika hili swala. Madaktari kuanzia mwaka 2006/07 walianza kupewa mkopo kwa asilimia kama taaluma nyingine tu,kuna wengine walipata 20%, wengine 40%,wengine 80% na wengine 100%. Katika vyuo binafsi kama KCMC, HKMU, etc serikali kupitia...
Mzee Aboud Jumbe alifungwa kifungo cha kisiasa, hakutakiwa kusafiri nje ya nchi wala kuzungumzia siasa.Na Serikali zote zinazokuja zinaheshimu hukumu hiyo!Hawawezi kumzungumzia kabisa!!
Kweli kabisa namuona hapa Mh.Mnyika amejitahidi sana kufanya marekebisho kwa maslahi ya wafanyabiashara wa Tz.Inaonekana kapitia sheria moja baada ya nyingine na kutafakari...then akatoa mapendekezo yanayoendana na hali halisi na mazingira ya Kitanzania ili sheria isiwe mzigo bali isaidie...
Whether it is true or not.Mie nina swali: Kwa kuwa nchi ya wenzetu ina uwezo mkubwa wa kutunza taarifa za ki-uhamiaji na wageni wanaoingia na kuishi nchini mwake,Hivi kwanini Serikali ya USA isiombwe kutoa ushahidi wa tukio hili?Kwa nini nchi yetu isiombe investigation ya kujua kama yu hai au...
Sasa wewe ndugu uko upande wa nani!!??Maana bado ukweli wowote hauujui bado!Hata ukiujua tayari, huku kuumbuka wewe kunakupaje furaha? Awe kapewa sumu au la wewe unapataje satisfaction as an individual?
Nahisi wewe ni mmoja wa hawa watu wanaofurahia mambo fulani yaendelee kufichika machoni mwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.