Search results

  1. kibhojela

    Wadau wahoji uhalali wa Daraja la Tanzanite kuwa bure huku la Kigamboni likiwekewa Tozo

    Duu we jamaa bora baba yako angepiga puchu kuliko bao lilozaa zombi wewe
  2. kibhojela

    Wafanyabiashara Arusha wafunga maduka kwa muda usiojulikana

    Kwani ccm yenu inasemaje?
  3. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Nilienda Jumatatu kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge. Lakini nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na badaye akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawezi kurudi Nyumbani kwani anaona aibu kwa kumshitaki mume...
  4. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Ilikuwa Ni namna ya kumuondoa kwa kuwa walikuwa hawana hakika amani imekaaje so wakatumia kigezo kuwa tukamuuguze ndugu,Nilikuwa tu namuonesha kuwa Mimi Ni mume kwa jinsi nilivo ningempiga yule angekifa
  5. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Tatizo hujaelewa, Mimi ndo niliumia zaidi lakini kwakuwa nayeye nilimpa tuvibao kidogo nikaona ili kumjali nikampeleka hospitali na huko akapewa dawa za kutuliza maumivu tu,
  6. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Nilipigwa na ubao kichwani nikiwa nimetulia nachat nilishonwa
  7. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama
  8. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Hapana Ni mwanamke anamiliki K kabisa!
  9. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Noted,ndo najiandaa j3 niende na wadhamini kabisaa
  10. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nawe umeleta utani kazini Tena[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
  11. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Ndio japo mwera wananitafta nimewaambia nimesafiri ili niende j3 naogopa wakinidaka leo Hadi j3 sero no hatari na nasikia katembeza pesa hapo kituo Cha police
  12. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Kifamilia imeshindikana kwani alienda kwao baada ya kuuguzwa na wazazi wangu,inaonekana ameshinikizwa ili kunikomoa tu
  13. kibhojela

    Naombeni Ushauri: Mke amenishtaki kuwa nimempiga

    Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi. Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki. Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom...
  14. kibhojela

    Maigizo ya wamama wa Urambo kuhusu maji

    Mkoundour wako na kyoumer ya mazaako ndo zimetoa maji
  15. kibhojela

    Uchaguzi 2020 Shilatu: Lissu ana maswali ya kutujibu kwanza Watanzania

    Hivi umeandika kwa mkono wako au koumer ya ma'ako?
Back
Top Bottom