Nilienda Jumatatu kujisalimisha kituo cha polisi na wife kumbe alikuwa kapangwa na ndugu ili kunikomoa ili wanifunge.
Lakini nilimbembeleza kwa muda mrefu afute lile shauri na badaye akalifuta na akasepa kwenda kwao akidai hawezi kurudi Nyumbani kwani anaona aibu kwa kumshitaki mume...
Ilikuwa Ni namna ya kumuondoa kwa kuwa walikuwa hawana hakika amani imekaaje so wakatumia kigezo kuwa tukamuuguze ndugu,Nilikuwa tu namuonesha kuwa Mimi Ni mume kwa jinsi nilivo ningempiga yule angekifa
Tatizo hujaelewa, Mimi ndo niliumia zaidi lakini kwakuwa nayeye nilimpa tuvibao kidogo nikaona ili kumjali nikampeleka hospitali na huko akapewa dawa za kutuliza maumivu tu,
Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom na kwenda kwao ndo karudi kisirisiri kukisanua,alitaka kunipoga shoka ndipo nikamtime nakumlaza kwa mtama
Ndio japo mwera wananitafta nimewaambia nimesafiri ili niende j3 naogopa wakinidaka leo Hadi j3 sero no hatari na nasikia katembeza pesa hapo kituo Cha police
Siku chache zilizopita tuligombana na wife wote tuliumia, lakini baadaye akaenda police kunishtaki kuwa nimempiga na jalada lipo Polisi.
Naombeni ushauri kukiepuka kikombe hiki.
Baada ya kugombana Mimi ndo nilimtibu na baadae wazazi wangu wakaja kumchukua ili atulie kidogo lakini akatoroka hom...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.