Search results

  1. M

    Uchaguzi 2020 Hii ni tofauti kati ya kampeni za CCM na CHADEMA

    Washaurini Wagombea wawe organized. Wanaboa kutoa sera zinazokinzana kila wakati.
  2. M

    Uchaguzi 2020 Hii ni tofauti kati ya kampeni za CCM na CHADEMA

    Hii hata Lissu Mwenyewe haiwezi, maana amejaa chuki za wazi kabisa na si kwamba eti ana mpango wa kufanya kitu tofauti sana. Maana nimeshangaa vitu anavyoviongelea kwa uchungu kama kero, hajui kuwa imekuwa historia kwa sasa.
  3. M

    Uchaguzi 2020 Hii ni tofauti kati ya kampeni za CCM na CHADEMA

    Kwa muda sasa nimekuwa nikifuatilia kampeni za vyama hivi viwili ili kujua nini hasa sera zao. Nini hasa watakwenda kutufanyia Watanzania katika kipindi cha miaka mitano ijayo. Ni kwa namna gani watatuletea maendeleo endelevu Watanzania. Kimsingi nimeona tofauti kubwa sana katika vyama hivi...
  4. M

    Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

    Hilo la kung'ang'ania madaraka nadhani upinzani kwa upande wao huwa wanaona ni shida. Kila siku wanadai vitu ambavyo hata ndani ya vyama vyao wameshindwa ku-practice. Tuna safari ndefu sana kufikia Kujitambua.
  5. M

    Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

    CCM walieleza bayana mchakato utakavyokuwa. Not only once, mwenyekiti alisema kushinda kura za maoni doesn't mean ndo kuteuliwa. Sema wewe ulijiaminisha tu kichwani mwako.
  6. M

    Uchaguzi 2020 Uteuzi wa Wagombea Ubunge CCM ni tishio na funzo kubwa kwa Upinzani

    Siku ya Jana CCM ilitangaza majina ya Watu watakaopeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya ubunge kwenye majimbo yote, Bara na Visiwani, katika uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 28 mwaka huu. Uteuzi huo unaweza kutazamwa kwa sura mbili, yaani sura ya kwanza kuwa ni tishio na ile pili...
  7. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona. Sasa iambie dunia kuwa Tanzania sasa ni salama

    Kwani umeona nimeongelea Uchaguzi hapa? Kinachoongelewa hapa ni kuwa aeleze kwa sasa hali ikoje, siyo kutukusanya tu wakati ameshatutisha.
  8. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona. Sasa iambie dunia kuwa Tanzania sasa ni salama

    Kwani hizo maiti ambazo mabwana zenu walisema zitatapakaa mitaani umeshaziona hadi sasa?
  9. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona. Sasa iambie dunia kuwa Tanzania sasa ni salama

    Nimemtumia Zitto ambaye kwa sasa havai anapuyanga mitaani, havai barakoa wala hachukui measures zozote alizokuwa akituhamasisha before kuchukua
  10. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona, sasa tumia ile ile pia kuiambia dunia kuwa Tanzania sa

    Hatuna usafi wowote kuzidi hao wanao tuzunguka, but lazima tu-appreciate kuwa viongozi wetu wamefanya kazi kubwa sana kutufikisha hapa tulipo. Walipokea kejeli za kila aina but walikaza msimamo wao wa kuhakikisha kuwa tunakwenda katika njia ambayo ni salama zaidi kwa upande wetu, otherwise...
  11. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona, sasa tumia ile ile pia kuiambia dunia kuwa Tanzania sa

    Zitto angezungumza ukweli kwa wakati ule hakuna ambaye angemfuatilia sasa. Yeye alijikita kuonyesha kuwa Tanzania ni nchi chafu pengine kuliko nchi yoyote duniani. Sasa mbona anadunda tu kitaa? Na hata alipopewa hali halisi na wataalam wetu alikuwa akiongea kinyume. Aongee ukweli sasa hali ikoje?
  12. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za Serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona. Sasa iambie dunia kuwa Tanzania sasa ni salama

    Kati ya watu wachache waliotumia nguvu kubwa sana kuzibeza juhudi zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya tano, pamoja na wataalam wetu wa ndani katika kupambana na Ugonjwa wa Corona (COVID-19), ni ndugu yetu Zitto Kabwe. Huyu bwana kwake hakukuwa na jema lolote lililofanywa na serikali, kwani...
  13. M

    Zitto ulitumia nguvu kubwa kwenye kupinga juhudi za serikali kwenye mapambano dhidi ya Corona, sasa tumia ile ile pia kuiambia dunia kuwa Tanzania sa

    Kati ya watu wachache waliotumia nguvu kubwa sana kuzibeza juhudi zilizochukuliwa na serikali ya awamu ya tano, pamoja na wataalam wetu wa ndani katika kupambana na Ugonjwa wa Corona (COVID-19), ni ndugu yetu Zitto Kabwe. Huyu bwana kwake hakukuwa na jema lolote lililofanywa na serikali, kwani...
  14. M

    Kugonga mwamba kwa Mazungumzo kati ya Viongozi wa ACT-Wazalendo na CHADEMA kuhusu kuungana kwenye Uchaguzi Mkuu na picha halisi ya Uchaguzi Mkuu ujao

    Kwa muda mrefu chama cha ACT-Wazalendo kimekuwa kikiwashawishi Viongozi wa CHADEMA ili wakubaliane na wazo lao la kushirikiana au kuungana katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu. Ikumbukwe kuwa ACT-Wazalendo ndio wameonekana kuwahitaji zaidi Chadema, kuliko wao kuhitajiwa na...
  15. M

    Zitto Kabwe angekuwa Mwalimu wangu wa uchumi, leo ningechoma notes zake zote

    Sisi tunafuata ya WB ya Zitto waitumie ACT- Wazalendo. Inakuwaje uliyemfanyia reference anakuja na majibu tofauti? Hopeless kabisa
Back
Top Bottom