Search results

  1. uchumi2018

    Ubovu wa barabara Kisukulu Maji Chumvi - Segerea ni kero kubwa

    Ndugu wanajamvi Nawasalimuni kwa jina la jamhuri ya muungano. Nimeona niamke na hoja hii kwani wakazi wa kisukulu tumejikuta kwenye mateso ya muda mrefu. Kwa wale wasiojua kisukulu ni wapi, Kisukulu ni kata inayoangukia kwenye jimbo la uchaguzi la segerea wilaya ya ilala kwa utambulisho zaidi...
  2. uchumi2018

    Pongezi kwenu Mdee na Bulaya kwa kuzungumzia mifuko ya Hifadhi ya Jamii Bungeni

    Habari zenu wadau. Nimeona mimi kama mfanyakazi ninayeguswa na sheria na taratibu za mifuko ya hifadhi ya jamii nitoe pongezi kwa wabunge hawa Halima Mdee na Ester Bulaya kwa hoja zao bungeni kutetea wastaafu ambao ndio wachangiaji na wanufaika wa mifuko hii. Ni mara nyingi tumesikia wabunge...
  3. uchumi2018

    Ifike muda wahitimu wa vyuo waliokopeshwa na Serikali kusoma, walipe deni bila riba

    Habari zenu wana jamvi. Kwa muda mrefu sasa nimeangalia wahitimu wa vyuo mbalimbali waliofanikiwa kupata ajira na ambao bado wanalazimika kulipa mikopo waliyokopeshwa na serikali ili kufikia ndoto zao za elimu. Jambo ambalo mimi binafsi naliona ni jema kwa kuwa wanafanya mfuko huo uweze kuishi...
  4. uchumi2018

    Serikali iangalie upya sheria iliyofuta kiinua mgongo kwa wastaafu

    Amani kwenu wana jamvi, Nimetafakari sana nikaona kupitia jukwaa hili nipeleke ombi kwa serikali juu ya kiinua mgongo kwa wastaafu. Nikiri wazi kuwa mimi ni mfanyakazi kwenye makampuni ya watu binafsi, nimeshuhudia watu wakistaafu miaka ya nyuma na wengine waliostaafu miaka ya hivi karibuni...
  5. uchumi2018

    TARURA INAFANYAJE KAZI?

    Habari zenu wanajamvi, kama habari inavyosomeka nitangulize samahani huwenda nimekosea herufi za taasisi husika(Tarura) nilitaka kumaanisha ile idara inayoshughulika na barabara inayofanya kazi kama TANROAD.Naisikia taasisi hii ila sielewi majukumu yake. Mimi ni mkazi wa kisukuru migombani njia...
  6. uchumi2018

    Mfuko wa fidia kwa wafanyakazi(WCF) unafanyaje kazi?

    Habari za majukumu wakuu. Kama kichwa kinavyojieleza,serikali iliunda mfuko huu ambao ni sheria kuchangiwa na kila mwajiri. Kabla ya mfuko huu kuanzishwa waajiri walikuwa wanahusika kuwalipa wafanyakazi wao fidia pale wanapopata matatizo/maafa kutokana na kazi wanazozifanya,lakini pia mashirika...
  7. uchumi2018

    Serikali iweke sheria ya usafirishaji wanyama wa kuchinja

    Habari zenu wanajukwaa. Niende moja kwa moja kwenye hoja. Juzi tuliona kwenye vyombo vya habari kuhusu mizoga ya ng'ombe 15 waliokuwa wamepelekwa tegeta Dar es salaam ili kutengenezwa na hivyo kuwauzia watu kama kitoweleo. Tumemsikia meya wa manispaa ya kinondoni akilaani kitendo hiki cha...
  8. uchumi2018

    Usijaribu kumtania house girl kwa maneno haya

    Habari zenu wandugu, Poleni na majukumu. nimeona nitoe tahadhari kwa vijana wanaoishi nyumbani kwao au hata maboss wenye ma-house girl(matured 19yrs+) kuzoea kuwatania kwa maneno yenye mistari ya mahaba ndani yake kama vile -Unapendeza sana,natamani nikutembelee usiku. -Nilikuja chumbani kwako...
Back
Top Bottom