Search results

  1. uchumi2018

    Israel inalindwa sababu ni mtego wetu Waafrika

    Mimi sijaelewa, unamaanisha israel kupigwa ngumi au kupigwa kivipi? Maana juzi tu amerushiwa makombora na drone mia tatu hamsini bila madhara makubwa. Na hamas alimrushia maelfu ya makombora na kuua watu zaoidi ya elfu moja. Fafanua kidogo tupate mantiki
  2. uchumi2018

    Jordan yaanza kujiweka mbali na Israel, imesikia onyo la Iran

    Pia alisema israel ikiingia ardhi ya palestina itakipata cha ,moto. Tumeshuhudia wanaume wakiingia na kufanya yao hadi leo.
  3. uchumi2018

    Jordan yaanza kujiweka mbali na Israel, imesikia onyo la Iran

    Wote wataramba kichapo sawasawa na hamas,naomba tusijelaumu kwamba watoto na wanawake wameuawa. Muda ni mwalimu mzuri,
  4. uchumi2018

    Bwawa la kufua umeme la Nyerere ni dogo mno kulinganisha na uwezo wa maji katika bonde la mto Kilombero na Rufiji. Tulipaswa kutengeneza walau 6000MW!

    Ipi bora mkuu.kuzalisha gunia moja kwa heka angalau ukala ugali au kuendelea kuhemea huku heka yako moja ikizidi kuota mbigiri? Mi nadhani Tanesco wakijiongeza,wanaweza kuongeza uwezo wa mashine kwa kufunga mashine za kisasa zaidi hapo mbeleni.Kwa sasa tupongeze hatua iliyofikiwa.
  5. uchumi2018

    Dark days 17/03/20...

    Tusubiri April ipite salama,hata enzi za nuhu kuna waliokuwa wanambeza wakati anajenga safina,sababu waliona kiangazi wakati jamaa anawaambia kuna mafuriko yanakuja.
  6. uchumi2018

    Prof. Tibaijuka alisema alimwambia Lowassa Kimfumo Rais hawezi kutokea chama cha Upinzani, nimemuelewa kupitia Jen. Mabeyo

    Kwa mantiki hiyo security system ya taifa letu ni imara sana kuliko marekani,uingereza Ujerumani n.k ambako vyama vya upinzani hushika madaraka?
  7. uchumi2018

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Nao ni binadamu,na ukumbuke nao mishahara haiwatoshi, kumbuka,hapa kesi kubwa ni mtoto kupigwa kupita kiasi. Ndo maana ni muhimu sana kujiepusha kupigana.maana hatujui afya za watu. Unawezapata kesi ya kuua kumbe umemmalizia marehemu alishakufa. Kosa la huyu mwalimu ni kumpiga mtoto mangumi...
  8. uchumi2018

    Yanayofanyika viwandani Tanzania ni utumwa. Kazi ngumu, maslahi duni. Serikali haina mpango na wananchi wake, inachoangalia ni kodi tu

    Ndugu yangu,hivi msomi ni yupi? Kuna sehemu niliajiriwa,ilikuwa ukiangalia vibarua wengi ni form four na six ambao hawana wa kuwaendeleza wanasaka chapaa ili wajisomeshe na wengine hawakupata maksi nzuri ili kuendelea,Sasa ukiangalia mshahara huo kama huna mtu anayekuhifadhi huwezi fanya lolote...
  9. uchumi2018

    DOKEZO Mwanangu ameuawa kwa kupigwa na Mwalimu lakini kesi inazungushwa

    Yule mwalimu aliyechezesha watoto mziki wa annii,alishughulikiwa haraka. Huyu anayeficha muuaji,tunasubiri taratibu zifuatwe. Nakushauri lalamika kwa waziri wa elimu haraka iwezekanavyo. Alafu mbona mama anahangaika peke yake? Baba yuko wapi,na anafanya nini? au ndo wale wanaume mithili ya...
  10. uchumi2018

    Gaidi la HAMAS lajaribu kutijoa uhai kwenye gereza Israel

    Sasa yale yanayojitoaga muhanga yanakuwa yameuawa na nani? Na habari za kusadikika ni kwamba moja kwa moja huwa yanawahi mito ya mvinyo na mabikira 72.
  11. uchumi2018

    Dark days 17/03/20...

    Umejibu moja la china,niko palee nasubiri na swali la rami kama nayo ilijengwa na wananchi au serikali?.
  12. uchumi2018

    Hii mboga inaliwa? Msaada wenu!

    Mkuu umenikosha kwa jinsi ulivyoweza kuandika kwa kigugumizi. Nami nakazia unaliwa hauna shida.
  13. uchumi2018

    Dark days 17/03/20...

    Nikuulize kitu,hizo barabara za rami mpaka migombani nazo zimejengwa na wananchi wa eneo hilo au ni serikali? Na suala la uzazi wa mpango,huko kwenu kuna maendeleo kuliko china ambako watu ni karibia 2b?
  14. uchumi2018

    Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

    Kwa mtizamo wako.ila mimi nilichoandika ndicho nilichomaanisha. Usilolijua ni kuwa kiingereza ni lugha kama kilugha cha kwenu. ukizaliwa sehemu automatically utaongea lugha inayoongelewa sehemu ile. Ukienda shule,watakufundisha kuandika unachoongea.Usipoenda shule unaishia kujua kuongea ila...
  15. uchumi2018

    Matumizi yako kwa siku ni shingapi? Je, niko vizuri au mimi ni mwananchi mnyonge?

    Nimefurahi kuona nyumba unayopanga hamlipii umeme wala maji, Kwa kuwa unaanza maisha ni mwanzo mzuri.
  16. uchumi2018

    Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

    Na kuna wengi wanajua kuongea kiingereza ila hawajui kukiandika.
  17. uchumi2018

    Nashauri: Kuongea Kiingereza kwa unyoofu (fluency) ibaki kuwa kigezo cha kumpima Mtanzania mwenye Degree

    Mk Mkuu umewahi kuwa au kufanya kazi na wazungu ambao kwao sio uingereza,au marekani? Nilichojifunza mimi ni kwamba,tunaohangaika na gramma kama kigezo cha usomi ni sisi watu weusi. Mzungu anajali usome kilichoandikwa na uwe na uwezo wa kuelewa na kukifanyia kazi basi. Ningekuelewa zaidi kama...
  18. uchumi2018

    Nyinyi mnaokula mchana kipindi hiki ni akina nani? Mnatukera bwana

    Kwani wanaopika wanampikia nani? Imeandikwa ''utakula kwa jasho lako'' sasa kam mtu kaishatoa jasho,kinachofuata nini kama siyo kula?
  19. uchumi2018

    Dark days 17/03/20...

    Kwa kusoma hii kauli naweza kuhisi unatokea sehemu gani ya Tanzania. Kusema ukweli mna ubinafsi sana na ndo maana watu wanaogopa sana kuchagua kiongozi kutoka ukanda wenu. Kwenu hamkuendelea kwa juhudi zenu tuu,ni juhudi za wote watanzania wavuja jasho. Ila viongozi waliangalia vipaumbele ili...
  20. uchumi2018

    Bima ya Afya NHIF ni Janga kwa wanachama wake

    Mimi sio mtaalam wa afya lakini nimejaribu kuangalia madawa yaliyofutwa sielewi, sasa najaribu kufikiri,labda ni madawa ya gharama ndogo ambayo watoa huduma walikuwa wanaiuzia serikali kwa pesa kubwa wakati katika uhalisia sio bei yake. Kwa mtu ambaye aliwahi kulazwa akahudumiwa na bima pamoja...
Back
Top Bottom