Nilishamueleza Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Wilaya ya Kakonko juu ya kusudio langu la kuacha kuwa mwanachama wa @ccmtanzania na kuwa mtu huru kwa sasa.
Nilimueleza kwa sababu yeye ndiye alinisindikiza kwenda kuonana na Rais Magufuli kutoka Kigoma hadi Dar es Salaam tukipokelewa na...
Namna ya kubadili Wajumbe kuwa watu wazuri
===
UJUMBE MUHIMU KWENDA KWA WATANZANIA.
Kubadili wajumbe kuwa watu wazuri kupitia uchaguzo 2022 na 2027
Kama ambavyo Yohana aliyaandikia Makanisa saba {Ufunuo 1; 9-14} akiwa katika kisiwa cha Patmo,vivyo hivyo nami ninawaandikia Watanzania hasa...
Asanteni Sana Ndugu zangu. Katika mazingira ya kazi Kuna mengi. Mwaka wa Jana nilifanikiwa kukamata Pamba Tani 11 na ikataifishwa.
Waliokuwa wameificha pamba walikamatwa! Mwaka huu watu wale wale wamenifanyia hivi. Nafikiri Kama nilikosea kusimamia ukweli. Wamenibeba kwenye gari lao wakanitupa...
Leo tarehe 23/07/2020 nimekamata Kilo 5,584 za pamba Katika Kijiji cha NG'WAGALANKULU Tarafa ya Mondo Wilaya ya Kishapu zilizouzwa kinyume na utaratibu tena kwa kutumia mzani tofauti na kutunzwa kwenye nyumba ya mtu Jambo ambalo ni kinyume na utaratibu wa zao hilo ambalo linatakiwa kuuzwa...
Ninakusudia kuchukua fomu ya Kugombea Ubunge. Safari hii ni Kupitia Chama Cha Mapinduzi.
Kuchukua fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa Mgombea wa CCM Jimbo la Buyungu itawasaidia Wana CCM wa Wilaya ya Kakonko kuwa na Machaguo mengi.
Kuhusu Ushindi wa CCM kwa nafasi ya Urais,hapo hakuna kazi...
"I will prepare ,and one Day my time will come" Abraham Lincoln.
"Nitajiandaa na siku moja muda wangu utafika"
Njia nzuri ya kuhakikisha ndoto yako inatimia ni kuendelea kujiandaa,ili itakapokuja ikukute uko tayari.
"USIACHE KUJIANDAA"
Wasalaam...[emoji1241][emoji122]
Katika kutembelea Vijiji vya Kishapu,wiki 2 zilizopita nilifanikiwa Kufika Kijiji Cha Seke IDIDI nikakutana na vyumba 3 vya madarasa na nyumba 2 za Walimu ambazoo zilijengwa miaka 7 iliyopita kwa nguvu za Wananchi kwa lengo la kuongeza Shule ya Sekondari ili kuwapunguzia Umbali Wanafunzi ikiwa...
Nimesoma kwa ufasaha Taarifa zilizoandikwa na Mwandishi Tom Wilson kwenye Gazeti la FINANCIAL TIMES akiwa Uingereza kuwa baadhi ya viongozi wa Jamii ya Tanzania wakiongozwa na Mbunge wa Kigoma Mjini Ndugu yangu Zitto Kabwe kuiomba Benki Kuu ya Dunia kuahirisha kuipa Tanzania Dollar Milion 500 za...
Wakati Halmashauri kuu ya CCM Taifa ilipowasili Busisi ambako pia utawala wa Ndugu yangu Kusheku Msukuma ni Mbunge, Katibu wa Itikadi na Uenezi Ndugu yangu Polepole alinisimamisha mbele ya Mkandarasi anaejenga Daraja la Kigongo -Busisi Kilomita 3.2 lenye thamani ya Tsh Bilioni 699 ili...
Nilianza siasa za kugombea katika nchi yangu August 2015.
Ni kweli kwamba nilichaguliwa kuwa Diwani wa Kata ya Gwarama nikiwa Mwaka wa 2 Chuo Kikuu cha Dar es salaam kama alivyoandika kaka yangu @malisa_gj na @charles_william2 .
Nilipewa heshima kubwa sana na ya pekee kama Kijana aliyeamua...
Na Elia F Michael.
Baada ya kile kinachoitwa Great Economic Depression cha mwaka 1929-33 kuipiga Marekani na Ulaya alitokea Rais pale Marekani wa 32 aliyekuwa anaitwa Franklin Delano Roosevelt (FDR) ( 1882-1945) kutoka chama cha Democrat.
Ni Rais wa Marekani ambae alikutana na hali mbaya ya...
Afisa Usalama wa Taifa Wilaya ya Kakonko(DSO KAKONKO) Joseph Komite amempigia simu Baba yangu Mzazi Mchungaji FREDRICK MICHAEL (kwenye picha) akimtaka waonane Juu ya Maswala yangu leo.
Baba amenieleza jambo hilo kwamba ameitwa kisha nikamuuliza DSO KAKONKO kwa ujumbe wa mfupi kwa njia ya simu...
Tar 22/07/2019 Siku ya Jumatatu majira ya saa tatu kasoro usiku Augustine Anatory Masabo alikamatwa,akaingizwa kwenye Gari lenye namba za Usajili T 433 CSA na kisha kupelekwa asikojua akapigwa na kuumizwa sana na kisha akatelekezwa na hao waliomkamata.
Augustine ambaye ni Katibu wa Vijana Kata...
Kuna mambo 2 kwa Vijana wenzangu;
1. Kuhitaji nafasi ya uongozi
2. Nafasi ya Uongozi kukuhitaji
1. Kuhitaji nafasi yoyote ya uongozi
- Unakuwa na hofu na wenzako ambao unadhani wanaweza kuwa hatari kwa malengo yako ya kutafuta nafasi.
- Kwasababu hofu ipo juu ya wanadamu wenzako basi...
1. Kuhusu Spika wa Bunge Mh Job Ndugai kumvua Ubunge Mh Tundu Lissu.
Katika hili nitamueleza kuwa yule Mbunge ambae Rais Magufuli alimpa Pole kupitia Ukurasa wake wa Twitter Tarehe 7Septemba 2017 na kuagiza vyombo vya usalama kufanya upelelezi ili kuwabaini na kisha kuwatia hatiani...
Jana nimepokea malalamiko ya baadhi ya Wajasiliamali kwenye Soko la Kakonko Mjini kuhusu utoaji wa Tsh 20,000/= wakati huohuo Wakilazimishwa kutoa ushuru mwingine mdogo mdogo wa Halmashauri.
Niliwaeleza hawatakiwi kutozwa kama wamelipia 20,000/= kwa mjibu wa maneno ya Rais.
Lakini pia...
Lizy Mtango, mtanzania anayeishi Ujerumani ambaye amekua akiugua kansa ya damu kwa muda mrefu (leukemia) amelazimika kuchomwa sindano ya kifo ili apumzike kutokana na mateso ya ugonjwa huo. Inaelezwa kuwa silent death (euthanasia) ni utaratibu unaoruhusiwa kwa baadhi ya nchi duniani kwa...
ZIARA YA WAZIRI MKUU KAKONKO.
Naambiwa ulinzi ni mkali sana na wananchi wanatishwa na maafisa wa usalama kwamba wasiulize maswali.
Najua haya mambo yalishafika mezani kwako ila mimi nakukumbusha tu;
1. Mh Waziri mkuu,najua upo Muhange kwenye soko la ujirani mwema na Nchi ya Burundi lakini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.