Hello technologist, I would like to hear technically from you, how is goverment could be able to shutdown imternet acces? tumesikia kuwa DRC congo has shutdown internet acces to their country to avoid leakage of election result s sasa ni kuwa wamewazaje kufanya ivo kuna switch yoyote inayoweza...
Hii sehemu inakera sana mtu unafatilia ID wee na majibu yao hata sio mazuri ivi mnadhani hizo ofisi ni za baba enu? Mtu anaeleza umuhimu wa ID kwa haraka nyie mna relax tuu wajinga sana
Vitambulisho vyetu bado mnazungusha kutoa
Mashirika ya Umma ni shamba la bibi kumejaa walevi, Wagonjwa hoi,Wahuni Hakuna kufukuzana bora siku zinaenda unategemea output gani.apo kama sio Watu kufanya kazi kwa mazoeaa ili mradi salary inasoma tena mapema tarehe 23 au 24, Mimi naona hizi huruma za Ma HR kurundika Wafanyakazi mizigo ndio...
Haya mkuu ila behind the scene kuna upembuzi yakinifu adi umfikie D.Trump.Usss linapokuja swala la Potus na wale waliopo 5 big basi wako serious sanaa
Kuna wasaa mtu atapita kwa scanners na pia Kupekuliwa tu
Ata uyo mjumbe pengine pia alivuliwa nguo zake na kupewa mpya za US kuanzia boxer mpaka kiatu, Nataka kuona Hawa jamaa protection detail yao itakavyokuwa waki meet mana hawaaminiani kabisa, Wasi wasi ni akili
Shida tu watanatanguliza hisia na mihemko zaidi ya Kutazama au kuwa critical na kinachozungumzwa mtu hataki ata kufikiria asikiapo mungu, Ndio mana Wanapigwa sana huko makanisani na misikitini
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.