nina smartphone aina ya oppo r7 plus yenye sifa zifuatazo:-
64GB storage
4GB ram
6.6 inches display size aina ya omoled yenye graphic kali sana
13mp back camera yenye kuonyesha kitu katika ubora wa hali ya juu. napatikana bagamoyo pwani kwa simu nambari 0748106950 nahitaji 130k kwa hii simu...
Ni kijana wa miaka 26, mwenyeji wa mbeya ambae kwa sasa ninaishi Bagamoyo-Pwani. elimu yangu ni.kidato cha sita PCB, ninaweza computer vizuri katika shughuli za video library, kuflash simu na shughuli za kisteshionali.
Nina nguvu ya kufanya kazi yeyote kwa maelekezo kiasi. kwa yeyote aliepo...
Mimi ni kijana umri miaka 26, mwenyeji wa mkoa wa songwe ambako ninaishi mpaka sasa.
Nimemaliza kidato cha nne na kupata div 2 point 20 mwaka 2015, nilifaulu vizuri masomo ya sayansi hivyo nikajiunga na advance kwa tahasusi ya pcb hapo sikufanya vizuri kwani nilipata division three point 14...
habari za wakati huu wakuu, kama kichwa cha maada kinavyojieleza nina jamaa yangu jinsia kiume,umri 29 years ana certificate ya tourism and hotel management anaexperience ya kufanya kazi sehemu mbalimbali tanzania bara na visiwani, kwa bara kafanya kazi ARUSHA,MBEYA,BAGAMOYO,NJOMBE na DODOMA...
Maisha yanakaba mtaani, inafika hatua hata vitu ulivyovinunua kwa ajili ya matumizi binafsi unaanza vifikiria ni jinsi gani vinaweza kuongezea kipato, mimi ni kijana umri miaka 24 sina ajira ya kueleweka yaan naunga unga sana gheto nina desktop moja na kilaptop kimoja naomba wanajamii mnisaidie...
Wakuu naombeni utaratibu wa kufunga na kufunguliwa kwa vyuo mbalimbali vile vya kati na hivi vikuu kwa semester hii baada ya janga la COVID 19 kuharibu utaratibu
Pc yangu ni hp pressario CQ56 yenye processor ya pentium dual core T4500 WITH 2.30gh pia ram yake ni Gb 4. Nataka install Gta V, Je nitaweza kwa uwezo huo wa PC yangu?
wajumvi wa jukwaa hili naomba msaada wa mawaidha kuhusu koz ya information managent,nins ndugu yangu kachaguliwa kozi hiyo round ya pili chuo cha tumain campus ya dar es salaam naomba msaada wa kuelewa mambo yafuatayo
1.mahala pa kazi kwa coz hiyo
2.soko la ajira baada ya kuitim
3. kuna option...
Nimenunua modem mpya leo kwa ajili ya kuacess internet kwenye pc yangu nimechomeka imeniletea option ya kuinstall program yake vema tu nikifungua program inaonyesha kusoma vizur kabsa kwan majina yalioko kwenye lain yanaonekana vema na piah naweza tuma na kureceive message tatizo liko katika...
Wakuu nashindwa connect mtandao wa internet kwa kutumia hii moderm yangu yaan hii moderm inanishangaza kwa kuwa inasoma laini vizur tu majina message na mtandao unaonyesha kabisa umesoma tatizo linakuja pale napotaka connect internet inakuja feedback kwamba"the list is out of bound -1" nikijarbu...
ana point 11 ya hkl kakosa round one ya selection katika vyuo vya mzumbe udsm na udom anataka ushaur wa vyuo na faculty ambazo ni less competence anazoweza apply kwa second round please mpe advice mpen ushaur wakuu ni mdogo wangu huyu
Nimemaliza four 2015 nikafanikiwa kupata matokeo kama ifuatavyo
Physics -C
Chemistry-C
Biology-B
Mathematics-C
English-C
Literature-C
Kiswahili-C
History-C
Geography-C
Civics-C
Nikawa na div 2 point 20 je! Kulingana na competition iliyopo naweza pata dip ya course ya clinical medicine kwa vyuo...
Eliasi Kihombo T.O mwaka 2006 na Tishio katika baadhi ya vitabu vya advanced physics katika kurasa ya mwanzo kabisa ameandika kama ifuatavyo:-
""This book contain embedded holograms in some pages that can destroy Completely the LASER of the photocopy machine so don't try to take a copy because...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.