Habari wakuu
Jipatie Nokia 105 Original kwa bei ya ofa ya Shillingi 35,000 (elfu thelathini na tano tu). Rangi zilizopo ni black na blue.
Free delivery kwa DSM
Mikoani tunatuma kwa gharama ya mteja
Tuwasiliane kwa nambari 0755089890
Karibuni Sana
Habari ya wakati wana MMU.
Ni matumaini ya wengi,mimi nikiwa miongoni mwao kuwa maisha yetu ya chuo kikuu tungeweza kupata wenza wetu au vident vya kula navyo bata.
Nilisoma kwa juhudi sana O'level na Advance(uboizini) ili nitusue niingie chuo.Story za kitaa ziliongeza shauku yangu ya kutimba...
Monitor ya pc yangu imeweka mistari ya rangi ya kijani iliyosimama wima. Kwa anayejua chanzo cha tatizo na makadario ya gharama za matengenezo msaada tafadhali...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama heading inavyojieleza. Mtandao upo vizuri kwani mambo mengine nayafanya vizuri tu ila kudownload app kwenye playstore ndo yawashida inaload tu kwa muda mrefu.Msaada kwa anayefahamu chanzo cha tatizo na jinsiya kurekebisha.
Brand: infinix hot 6 X
DIRISHA JINGINE UDSM:
CHUO kikuu cha Dar as Salaam kitafungua dirisha jingine la maombi udahili kwa wanafunzi wanaotarajia kujiunga na Elimu ya juu mwaka huu.
Akizungumza katika kipindi cha Jambo kinachorushwa na shirika la Utangazaji Tanzania @tbchabari, Naibu Makamu Mkuu Taaluma, Prof...
Wakuu simu yangu iliingia kwenye maji lakini niliiwahi kuitoa na ikaonyesha haina tatizo lolote,sasa hii jioni nimeweka charge haiingizi mpaka niizime na nikichomoa charge yaonyesha bado yaingiza,,,tatizo ni nini na hatua zipi nichukuw
Simu ni tecno cx air
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kichwa kinavyojieleza.Ni mgeni kwenye hilo suala nimeleta jukwaani nipate abc kidogo kwani kuna mdogo wangu anafuatilia mirathi yake.Ni ya muda mrefu kidogo kwani msimamizi wao alikuwa sio mfuatiriaji na kwa sasa ilipofikia ni wanasema ipo kwenye foleni ya kuandikiwa cheque.Naomba kujua...
Kama kichwa kinavyojieleza,nimefikiria kumfanyia suprise ya hand hair dryer maana napenda nywele zake.Kwa yeyote anayejua bei na sehemu ambapo naweza pata hii kitu kwa dar-es-salaam naomba anijuze nimfanye huyu kiumbe afurahi kidogo.
Habari za wakati huu ndugu.
Pc yangu hp(celetron) USB-port moja haifanyi kazi ya upande wa kulia ambayo ipo peke yake. Ukiconnect devices inakuambia not recorgnised lakini yapitisha power.Kwa yeyote mwenye ufahamu juu ya hili.
Karibu
Habari ya wakati huu.
Nina mwenza wangu (KE) anasumbuliwa na tatizo la kuwashwa ukeni(pembeni mwa uke kwa nje). Tumeenda hospitali mara kadhaa lakina tatizo limekuwa likijirudia rudia tu. Naleta kwenu kwa ambaye anafahamu chanzo cha tatizo, tiba na ushauri asisite kutoa maana hili tatizo...
Laptop yangu HP probook 6360b ilizima ili Hali battery ikiwa full charged na nilipojaribu kuiwasha tena imeshindikana. Nilijaribu connect kwenye umeme but still haikuwaka.
Nimepeleka Kwa fundi kaniambia PC ina vumbi na processor imekufa,bei ya processor 30k.
Kwa yoyote mwenye uelewa wa hili...
Kuna binti ni rafiki yangu wa muda mfupi tulikutana kwenye mihangaiko ya kila siku. Sasa amekuwa akinitafuta mida ya usiku ananiuliza naenda lini kumtembelea kwake na nilifanya uchunguzi wangu wa kisayansi nimebaini anakaa peke yake.
Sasa nimekuwa nikimdokeza kuwa nikienda itabidi nile chakula...
Habari ya wakati huu.
Kuna huu utaratibu wa DIT wa kuretake somo kwa wale watu wa diploma.Kuretake somo kunatokea endapo utashindwa kufikisha coursework/course assessment(CA) ya somo husika.Kuretake somo means unarudia kulisoma lile somo uliloshindwa kufikisha CA mwaka unaofuata huku ukikariri...
Nataka kusafiri kwenda Songea siku chache zijazo.Niliwahi kusafiri Songea miaka ya 2009-10 enzi hizo Ottawa High Class ipo kwenye chat na tulikuwa twatumia njia ya makambako.
Sasa hivi nasikia kuna gari nyingi zinaenda na zipo zinazopitia Lindi na nyingine Makambako.
Kwa yeyote mwenye ufahamu...
Hongereni vijana wa Taifa stars hakika leo tumeonyesha soka murua kabisa.Kile kipigo cha algeria lilikuwa somo zuri kwetu.Mpira tumecheza na matokeo tumepata.Taifa stars Wawa
Watanzania leo hamasa kubwa tumeiomyesha na tumeamsha hari za vijana wetu,Tumeonyesha kweli mashabiki ni wachezaji wa 12...
Habari ya wakati huu ndugu zangu.
Hili suala la mtu kulundikiwa dawa ukienda hospitali hasahasa sisi wa bima ni kwamba madaktari mnataka tupone kwa haraka au limekaa kibiashara zaidi.Niliwahi kwenda hospitali nilipewa dawa kama aina 3 hivi na zote ni antibiotics sijajua ni kubahatisha au ili...
Huyu mgonjwa wangu kila baada ya sex---(Anaumwa after sex,nini tatizo.) Kaniharibia weekend ipasavyo anadai nimpe ujauzito ili atest kizazi kama kipo vizuri au kina hitilafu.Hii betting nimeshindwa kuifanya kwani sipo tayari kuitwa baba kwa sasa na yeye ameng'ang'ana anataka kutest mitambo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.