Hakika mkuu! Produza wa sasa wana mengi ya kujifunza kutoka kwake coz yeye alikuwa ni full kipaji! naskia msanii kurekod bongo recorz enzi hizo lazima uwe umejipanga haswa! ukizngua tu ni mitusi toka kwa P!
Wasaalamu WanaJf popote mlipo..!
Nimeona ni bora leo tukaukumbuka ufalme wa Prodyuza mkali bongo na East Africa kwa ujumla ndugu Paul Majani!
Ukiachilia mbali Kipaji chake cha kutengeneza midundo mikali ya wasanii mbalimbali, P majani anafahamika pia kwa Ukorofi wake hasa ukimzingua! rejea...
Ee bwanaa kwa EPL ..AFC ndo kila kitu yan mwanzon miaka ya 2000 kila nkifungua tv naona tu Henry anashangiliaaaa yan ile va vaa vuuuuum...nikaona enheee ze gunnerz ndo chama kubwa mpk kesho!
Huku bongo ..enzi hizo Kweny redio kweny miak ya 2000 kila ukifungulia tuuu ni Simba! Simba! so...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.