NATAFUTA SOKO LA ASALI ya nyuki wakubwa kwa wadogo JIJINI DAR ES SALAAM NA MJINI MOROGORO. Kwa yeyote anayefahamu wanunuzi wa asali ktk miji hiyo naomba wanisaidia kujua ni nani wanunuzi na wanapatikana wapi na wananunua kwa bei gani. ASANTENI
kaka nasikia kidogo basi kunamzee aliwauzia kwa laki tatu. Tuungane watanzania kupinga hii aina ya ujambazi leo mama yangu kesho wazazi wako, watoto wako ukiwa umekufa huu ndio muda muhafaka wa kupigana vita hii.
Bary nasubili kwa hamu ushauri wako nachotaka kufanya sio kutafuta haki kwa mama yangu tu nitahakikisha nalitangaza tatizo na kuwa haibisha hawa matapeli. Naomba mungu anitangulie na kunilinda.
Hofu yangu sio madhara ya mnara kwani anaishi mbali na kiwanja hicho. Hofu yangu ipo kwenye utapeli ambao naona wa makusudi kwamba kuna watu ktk kampuni la simu husika wanajua kwamba eneo hili tutajenga mnara wanatangulia kumrubuni mmiliki mapema kwa kununua eneo kwa gharama ndogo sana baada ya...
Nawasiwasi kuwa kuna matapeli ktk timu zinazotafuta maeneo ya kuweka minara kiasi kwamba wakijua wapi wanatakiwa waweke huo mnara wanaanza kuimiliki ardhi wao. Walisema mbele ya mashahidi kuwa watajenga ofisi ila wakajenga mnara baadaye, ninachojua kuwa hii tabia hawajaanzia kwa mama yangu...
Nilikuwa shule, ila mama zetu vijijin hawana mtu wa wasaidia wamemdanganya mama yangu sasa yupo hoi kwa masononeko, nataman nijue how ya kudili na hawa matapeli nakosa usingizi kabisa mpaka nitakapofanya chochote nia ninayo ila sijui sheria na walichofanya ndio ile mikataba ya mangungo.
Nina mama yangu kijijini ambaye alikuwa na ardhi yake nusu heka sasa ikatokea tetesi kwamba tigo wanataka jenga mnara pale, baada ya muda kwel wakaja jamaa ila wakasema wanataka ile ardh kwa ajili ya kujengea ofisi mama akawaambia nasikia mnajenga mnara na mm nitawauzia kama wajenga mnara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.