Mkuu mm ni mtumiaji tu sina elimu yoyote na uinjinia mm ni mkulima nimefunga kamtungi kangu naenjoy sasa kama una maswali zaidi fanya kuwapigia nimefanya kushare tu....sharing is caring
Unafikiri Chuo cha Usafirishaji Tanzania(NIT) Na wahandisi wake wote na Mamlaka husika zote hazijafanya uchunguzi kuhusu usalama wa mtumiaji? na juzi Waziri Jaffo kupitia Azam media ametoa tamko na sheria zimetungwa kuhusu CNG huduma inatolewa na wahandisi wa NIT na inatolewa pale chuoni NIT...
Nimekutana nayo mahali nimeona nishee (Copy&Paste),
Makadirio ya chini ya umbali kwa cc 1400s hadi 1500s
GAS KILO 1 NI SHILINGI 1590[emoji95][emoji95]
Kg 15 inatembea km 230
Kg 11 unatembea km 180
Kg 9 inatembea km 120
Huu umbali unatofautiana kulingana na cc za engine yako.
Ukifunga gas...
Mke ni chanzo cha Umaskini pia ni kikwazo cha maendeleo, ndoa zimekuwa miradi wacha kupotosha watu
Tafuta pesa ishi vizuri mtoe mama yako uswahilini mpeleke ushuani fanya wazazi wako wajivunie uwepo wako.
Watoto wa kutosha bila kusahau premarital agreement, Mwanaume halisi anafanya hivyo, sasa...
Nikumbushe hv ameuza record ngapi vile huyo notorious BIG na jumla ana nyimbo ngapi...movie je anazo ngp vile nikumbushe tu....Tuzo je? Vp kuhusu ile museum ya Tupac Wake me when I'm free na vp kuhusu ile siku inayoazimishwa ya 2pac
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.