Sio mbobezi wa haya mambo ila napata shida ku login ktk hii app tangu wai update...nime update lakini inanigomea kuingia. Kila nikiweka nywila napata ujumbe " sorry request failed. Please try again later"
Tatizo ni nn wataalamu...inakera sana
Yaani me nimeitumia muda huu kinyeo kinawaka moto....na hakuna dalili za breki kushika....breki toka zimeachia saa saba mchana...saiv saa 12 kasoro...khaaa nifanyeje ili litulie wataalamu
Niliwahi safiri nayo mara kadhaa...Singida to Dar....nikiwa kijana mdogo sana...10yrs...naikumbuka mpaka leo...ilikua Chuma haswaa!!
Sent from my SM-A217F using JamiiForums mobile app
Pale kinampanda mission ulipofikia wakati unaenda middle school tabora...ndo nyumbani. Nimepata kipaimara pale usharika wa kkkt kinampanda...nimesoma Tumaini secondari...Nduguti...nkalakala.....gumanga.....msingi...kote nimepita..napafahamu. sikufika ibaga,chemchem na mkalama tu...japo babu...
Hayo ni madhara ya nyeto live mkuu. Me ni muhanga wa tatizo km lako...ulivosimulia ni very same case to me! Ni psychological problem!! Niliita demu toka moro to dar...nkachukua Lodge tujivinjari siku 2 nikalipia. Wakati anakuja namsubiri kwa hamu na mashine iko mnara hatari....nawaza jinsi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.