Mic akg1000s kwa 230000 soundcard ya behringer um2 kwa 230000, mic stand kwa inayosimama sakafuni kwa 40000, ya mezani kwa 30000, pop filter 20000 na waya zake.
Au kamata vyote kwa 500000
Vinapatikana bunju B.
0677508568
Apple kuwa na patents za technology haina maana ni idea za mwanzilishi, hata thomas edson alipatent vitu ambavyo hakuvumbua vilivumbuliwa na maengineer aliokuwa kawaajili.
Elon Musk maengineer wanamsifu kwamba anaweza jihabarisha akawa na uelewa mkubwa wa tech za makampuni anayosimamia. Hivyo...
Mpesa yes hata kwenye maelezo nimeandika mpesa inakubali, ukishaiset tu basi hata utoe line as long as unajua password inakubali. Ila airtel an tigo pesa ukitoa line nayo inakusignout. Pia hata kuset app inabidi line iwe kwenye simu ndipo inakubali labda wana ujanja wa kuzitrick.
Mkuu hii ya kutumia airtel app haiwezekani. Ukitoa line kwenye simu ukaweka nyingine ukifungua app inadai uweke line na utumie internet ya airtel. Tigo pia ni same kasoro voda (napenda voda kwa hili).
Labda kuna njia nyingine wanayotumia. Au inawezekana labda ukiendelea tumia internet ya airtel...
Kuna kampuni inaishitaki Google kwa hili la kumlipa apple. Yes, ila mimi naona kama innovations imepungua kwa miaka ya karibuni watu wako kwenye macamera sijui wanataka kila mtu awe cameraman
Mkuu sitoeleza sana maana uelewa wangu wa quantum computing siyo mkubwa ila zinafanya kazi tofauti na hizi computers zetu. Mfano inadaiwa quantum computer inaweza crack 2048 bit rsa encryption kwa masaa nane tu.
So hofu ya marekani ni kwamba breakthrough ya china kwenye quantum computing kwao...
Sanctions za US zimeiua. Nachoona US anaogopa development ya mchina kwenye tech. Nimeona hadi ameweka sanctions kwenye kampuni za kichina zilizofanikiwa kwa kiasi flan kwenye quantum computing. Huawei soona anaanza manufacture chips
Google ana OS nyingine inaitwa Fuchsia iko jikoni na samsung naye kashiriki kwa kiasi flani kuidevelop. Hiyo imekuwa developed from the ground hadi kernel wameitengeneza. Inasemekana ndiyo itakuwa mrithi wa android
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.