Search results

  1. M

    Mbunge wa Geita Mjini anatia mashaka. Anataka kusema Musukuma ni muongo?

    Unamlaumuje Mkurugenzi wa Halmashauri kutumia pesa ambayo haikiidhinishwa na baraza la madiwani ilhali Rais anatumia fedha ambazo hazijaidhinishwa na bunge? Tukimuwajibisha Mkurugenzi, nani atamuwajibisha Rais.
  2. M

    Kutokwenda au tukizuiwa kwenda Ulaya hakutaathiri chochote

    "The world is like a book, and those who don't travel read only a page."
  3. M

    95% za ndoa za RC wanandoa uwa wameshazaa watoto...

    Mama Maria alitamka katika kitabu gani?
  4. M

    Mafanikio ya Rais Magufuli: Viva Rais Magufuli, viva Tanzania

    Unanikumbusha wimbo wa Roma. Kuna mahali aliimba, "Uchafu wa Mrisho unafanya msafi aonekane Benja..." Leo hii tunaweza kusema, "Uchafu wa Magu unafanya msafi aonekane Mrisho..." Beware tusidumbukie humo.
  5. M

    Wivu wa nini? Serikali nayo ianzishe mtandao wa Jamhuri Forums

    Nakumbuka wimbo wa Roma; "Uchafu wa JK unamfanya msafi aonekane Benja." Nikiutafsiri kwa 2018; "Uchafu wa Magu unamfanya msafi aonekane JK." Shida yetu ni deeper kuliko Magu...
  6. M

    Hongera Serikali!! Watumishi wote waliopanda madaraja 2015/2016 wamarekebishiwa mishahara:

    Hayo ni maelekezo... Utekelezaji utaanza 2020 mkimchagua tena...
  7. M

    Tetesi: Mpango mchafu wa Mange Kimambi na Freeman Mbowe wavuja

    Mtanzania aliye Marekani mwenye maono kama haya basi atakuwa alienda huko kwa matibabu ya akili. Labda useme upo China au North Korea.
  8. M

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    Ombi langu moja tu, mkiandamana, msiharibu miundo mbinu na mali za umma au watu wengine binafsi maana ni kodi zetu hizihizi zitakazotumika kujenga upya vilivyoharibika. Kila la kheri.
  9. M

    Tafadhali Magufuli: Matatizo Haya Mengine Mnajitakia Bure

    Ninaona unajaribu kumtetea Magufuli kwa akili sana. Kitendo tu cha kuitoa Tanzania kwenye mpango wa kuendesha serikali kwa uwazi kinatakiwa kitoshe kukuonesha kuwa raisi aidha hana nia njema na nchi au anatuchukulia kama makondoo. Tujue, tusijue..hatuna shida. La hasha, MM, Magufuli...
  10. M

    He is shooting blanks [again]!!!

    Nyani, The problem lies with the man at the helm of the country. They are no longer servants...civil servants...watumishi wa umma...public servants...they are rulers, bosses... All democracy swept off in the name of 'salvaging our sinking economy'.
  11. M

    RC Makonda, kabla ya kuingilia ndoa za watu muulize kwanza Augustino Lyatonga Mrema alipoishia

    Political stunts..ndani ya mwamvuli wa 'nia njema'. Wanajua njia sahihi lakini hawaitumii. Only time will tell.
  12. M

    Napendekeza Mange Kimambi agombee urais mwaka 2020

    Upo sahihi kabisa mkuu, Hii hulka ipo kotekote.
  13. M

    Tukiacha unafiki, hadi leo utawala huu umeifanyia nini Tanzania?! Umewasaidia nini watanzania!?

    It is only a matter of time...sote tutaongea lugha moja!
  14. M

    Viongozi wengi wa siasa kuwa fimbo ndogo

    Hiyo fimbo kwa lugha ya kiingereza inaitwa 'Swagger cane'. Kibngo tutasema 'inakupa confidence fulani'. Unakumbuka sekondari wakati wa kuongea mbele ya darasa kulikuwa na wale waliokuwa bila kushika kalamu mkononi anakosa confidence kabisa, wengine lazima achezee vidole, mwingine kuegemea meza...
  15. M

    TAFAKARI: Kilio cha wafanyabiashara dhidi ya TRA kuua biashara zao, nini hatma yake?

    Sasa anafanya damage control...is it too late? Damage control kwa matamko? Unaweka processes gani kuhakikisha hata kama haupo hali itabadilika? ama ndo yale ya kufanya surprise visit Muhimbili ukitarajia Mbeya watabadilika?
  16. M

    HOJA: Ni kweli Watanzania wanataka maendeleo lakini wanataka na Katiba Mpya

    Katiba nzuri inasaidia sana hata tukipata raisi asiyefaa maana katiba hiyohiyo itamuwajibisha. Katiba tuliyonayo inashindwa hapo. Hata tutakapoanya mchakato wa katiba isiwe jambo la kuharakishwa. Ingewezekana katika iwasilishwe kwa vifungu na sio kwa ujumla. Yani wana-discuss suala la uraia...
  17. M

    Kutoka Ikulu: Ushiriki wa sekta binafsi katika Tanzania ya viwanda, Mengi akosoa ukadiriaji kodi kandamizi wa TRA

    Raisi hayupo hapo kuwasikiliza hata. Amekuja na majibu na mawazo yake kichwani. Kila mmoja naona anajua mtu wanayezungumza naye. It is a sad state tuliyopo aisee...
  18. M

    Napendekeza Mange Kimambi agombee urais mwaka 2020

    Hayo ya "akiwa..atabadilika" ndiyo yaliyotufikisha hapa tulipo. Ndiyo yaliyotufanya kumchagua Magufuli kwa kuwa tuliamini atabadilika (soma utabiri wa paschal mayala). Kwa bahati mbaya zaidi, ndiyo wanachotaka kutuaminisha CHADEMA (hii mada ya wakati mwingine). Tunataka tuone morality yako...
  19. M

    Hisia na hamasa za Maandamano nchini: Mapokeo, Mitazamo na Uhalisia (Viongozi na Wananchi)

    - Chama tawala kinapaswa kuwa cha kwanza kupaza sauti kwa ajili ya hao wachache wanaoonewa. Hii ni pamoja na viongozi wengine waliopo madarakani (katika serikali iliyopo) - Viongozi wa asasi nyingine (tofauti na serikali) pamoja na wale wa vyama vya upinzani ndio wa pili kupaza sauti baada ya...
Back
Top Bottom